Kanizawadia nusu lita ya asali na elfu 50 siku ya birthday yangu. Nimempiga chini kwa kasi ya 5G

Idiot
 
Sasa ulikuwa unakaa nae wanini wakati unaoweza kuhongwa magari kama wenzio? date na huyo wakukupa mamilioni ,usimsumbue mtoto wawatu anaejitafuta kwa jasho ,atapata atakaeenda nae safari ya polepole.

ukiwa na atakaekuzawadia mamilioni uje pia kutoa ushuhuda tukupe hongera
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…