Kanizidi umri lakini ana sifa hizi. Je, nijilipue nimuoe?

Kanizidi umri lakini ana sifa hizi. Je, nijilipue nimuoe?

Kubangaiza hakuna mwisho ukiona ndani yako unahitaji kuoa we oa.

Kuhusu umri age is nothing but a number .

Waarabu na wahindi huwa wanaoana wakiwa wanapishana umri tena Kwa mbali unakuta mke 36 mme 30

So if she , is right person ishi nae .
 
nmekuelewa bro japo mm sijawah kuwa playboy tangu nabalehe hadi leo
Sasa ndio uoe kama umempata mtu maplayboy nimetumia mfano kwamba kwao uzuri sio kitu bali wanaangalia tabia,ila kama unataka kumwacha sawa dunia ni yako chaguo ni lako na mimi sina cha kukushauri zaidi ya hiki nilicho kiandika.

Kupata mke mwema ni kazi sana hasa kwa dunia ya sasa.
 
ashakum si matusi lakn naomba tu mnielewe hvo mzee
Kwahiyo maza ndo pisi mbovu, mshua alikosea??

Uzuri wa mwanamke ni matunzo tu, hiyo pisi yako unaiona mbovu kwasababu ya shughuli zake.

Na mwanaume kwenye uzuri uzufi uko kidogo hatupo huko, saka kibunda kwanza mzee.
 
Kubangaiza hakuna mwisho ukiona ndani yako unahitaji kuoa we oa.

Kuhusu umri age is nothing but a number .

Waarabu na wahindi huwa wanaoana wakiwa wanapishana umri tena Kwa mbali unakuta mke 36 mme 30

So if she , is right person ishi nae .
asante mkuu
 
Sasa ndio uoe kama umempata mtu maplayboy nimetumia mfano kwamba kwao uzuri sio kitu bali wanaangalia tabia,ila kama unataka kumwacha sawa dunia ni yako chaguo ni lako na mimi sina cha kukushauri zaidi ya hiki nilicho kiandika.

Kupata mke mwema ni kazi sana hasa kwa dunia ya sasa.
sawasawa bro
 
Sasa mwanawane kwa nini ujifu ge kwa mwanamke ngongozo wakati warembo wenye tako na titi wapo.
Piga chini huyo. Usionee huruma mwanamke. Kenge na mashetani hao
nomaaaa unawapopoa balaaaa
 
Kwahiyo maza ndo pisi mbovu, mshua alikosea??

Uzuri wa mwanamke ni matunzo tu, hiyo pisi yako unaiona mbovu kwasababu ya shughuli zake.

Na mwanaume kwenye uzuri uzufi uko kidogo hatupo huko, saka kibunda kwanza mzee.
sawa sawa mzee mtata a. k. a vishu mtataaaa😀
 
Habari zenu,

Niko kwenye mahusiano na mwanamke ambaye kwa sasa ana miaka 30 kanzidi mwaka mmoja. mahusiano yana zaid ya miaka 6. (haya mahusiano hayakua straight mana kuna muda nlikua nahama mkoa hata miaka mi2, tena narudi tunaendeleza mahusiano). Kimuonekano mm sio handsome. Nina sura ya kawaida tu.

mwanamke huyu ana sifa zifuatazo
Yeye ni multiskilled, ni mpish mzuri sana yan akipika utajiramba, afu ni msusi afu ana ujuzi wa kushona kiufupi yy ni asset sio liability.

Miaka yote hyo hajawahi kuniomba pesa.(kuna watu mtasema eti kuna mwanaume ananisaidia majukumu). NO, huyu mwanamke n mpambanaji anafanya vibarua na sasa anafanya kibarua anacholipwa laki na nusu lakn hajawahi niomba hata 500 ya vocha.

Ni mwanamke mtiifu&anaenijali sana, nkiwa sina hela ya kula naenda kwake nakula nalala na asbuhi ananiogesha na nikiondoka siachi hata 100 na hajawahi nidai

Ni mwanamke mpambanaji na mwenye focus ya maisha yaan analipwa lak na nusu lakn kajibana mpaka kanunua vitu vyote vya ndani mfano kabati la nguo, la vyombo, kitanda, na vngine kwa pesa zake. sometimes hua ananipigia kakosa hela ya mboga anakula ugali na asali🥺

Kazn kwao wanatoka saa11 jion, akitoka kazn anaingia barabaran kwny zile folen anauza mataulo, chaja n. k kwa wale madriver.

LAKINI SASA:
Sikua na mpango wa kuoa kwa sasa lakn leo kanipigia smu anaongea huku akitoa sauti ya uchungu huku analia, anambia yeye anaona umri wake unaenda kwa hyo kama sina mpango wa KUMUOA n bora tuachane tu (naogopa nikimkosa je ntapata wapi mwngne kama yeye?)

Sura yake sio nzuri sana (simaanishi ni mbaya NO) ana sura ya kawaida tu yaan haivutii wala haikeri. mm pia sura yangu sio handsome nawaza watoto wetu si watakua na sura ambazo sio nzuri

Mimi bado nabangaiza na shughuli za ujasiriamali wa bidhaa ndogo ndogo, nikiingia kwny ndoa saiz hayo majukumu ya ndoa ntayaweza kwl?

Kanizid mwaka mmoja.

Nawaza sku nikikutana na mwanamke mwenye sura na muonekano naoutaka afu akanikubali je si ndo chanzo cha kuona nlikosea kuoa?

NB:sijamzalisha wala kumpa mimba.
Najua humu kuna watu wenye ujuzi na uzoefu wa haya mambo naombeni mnishauri jaman nimuoe au niachane nae??

Ninakushauri Usimuoe kwa sababu utamsababishia huzuni huko mbeleni,wewe siyo husband material.Yaani wewe ni mtu flani hivi utakaye mchelewesha yeye kuendelea.unaonekana hujui unakokwenda
 
Habari zenu,

Niko kwenye mahusiano na mwanamke ambaye kwa sasa ana miaka 30 kanzidi mwaka mmoja. mahusiano yana zaid ya miaka 6. (haya mahusiano hayakua straight mana kuna muda nlikua nahama mkoa hata miaka mi2, tena narudi tunaendeleza mahusiano). Kimuonekano mm sio handsome. Nina sura ya kawaida tu.

mwanamke huyu ana sifa zifuatazo
Yeye ni multiskilled, ni mpish mzuri sana yan akipika utajiramba, afu ni msusi afu ana ujuzi wa kushona kiufupi yy ni asset sio liability.

Miaka yote hyo hajawahi kuniomba pesa.(kuna watu mtasema eti kuna mwanaume ananisaidia majukumu). NO, huyu mwanamke n mpambanaji anafanya vibarua na sasa anafanya kibarua anacholipwa laki na nusu lakn hajawahi niomba hata 500 ya vocha.

Ni mwanamke mtiifu&anaenijali sana, nkiwa sina hela ya kula naenda kwake nakula nalala na asbuhi ananiogesha na nikiondoka siachi hata 100 na hajawahi nidai

Ni mwanamke mpambanaji na mwenye focus ya maisha yaan analipwa lak na nusu lakn kajibana mpaka kanunua vitu vyote vya ndani mfano kabati la nguo, la vyombo, kitanda, na vngine kwa pesa zake. sometimes hua ananipigia kakosa hela ya mboga anakula ugali na asali🥺

Kazn kwao wanatoka saa11 jion, akitoka kazn anaingia barabaran kwny zile folen anauza mataulo, chaja n. k kwa wale madriver.

LAKINI SASA:
Sikua na mpango wa kuoa kwa sasa lakn leo kanipigia smu anaongea huku akitoa sauti ya uchungu huku analia, anambia yeye anaona umri wake unaenda kwa hyo kama sina mpango wa KUMUOA n bora tuachane tu (naogopa nikimkosa je ntapata wapi mwngne kama yeye?)

Sura yake sio nzuri sana (simaanishi ni mbaya NO) ana sura ya kawaida tu yaan haivutii wala haikeri. mm pia sura yangu sio handsome nawaza watoto wetu si watakua na sura ambazo sio nzuri

Mimi bado nabangaiza na shughuli za ujasiriamali wa bidhaa ndogo ndogo, nikiingia kwny ndoa saiz hayo majukumu ya ndoa ntayaweza kwl?

Kanizid mwaka mmoja.

Nawaza sku nikikutana na mwanamke mwenye sura na muonekano naoutaka afu akanikubali je si ndo chanzo cha kuona nlikosea kuoa?

NB:sijamzalisha wala kumpa mimba.
Najua humu kuna watu wenye ujuzi na uzoefu wa haya mambo naombeni mnishauri jaman nimuoe au niachane nae??
Tulia dogo.Mpe pesa yako aizoee.Usiwe fala
 
Back
Top Bottom