Mwandishi kanjanja wa Gazeti la Jambo LEO bwana Willy Edward ameandika makala mbili za kumkatisha Tamaa,mchezaji wetu wa kimataifa Haruna Moshi Boban.
Maandishi ya Willy Edward sio ya kizalendo na hayana maslahi yeyote kwa Taifa.
Willy Edward ambaye tumewahi kuambiwa alifukuzwa kazi gazeti la Majira kwa kutokujua kazi ya uandishi.ameibuka na makala kumshutumu BOBAN kuwa kadanganya miaka ya kuzaliwa.
WILLY EDWARD wewe ni mzazi wa BOBAN kiasi ujifanye kumjua kuliko wazazi wake?
utapata nini kuandika makala haya? unataka uoneka wewe ni YANGA ZAIDI na unawakomoa simba. hilo sio jibu Mafanikio ya BOBAN NI MAFANIKIO YA TAIFA.
HIVI WEWE UNA SIFA YA UANDISHI? AU UMEHUDHURIA KOZI ZA WIKI MBILI PALE MTANZANIA?
Maandishi ya Willy Edward sio ya kizalendo na hayana maslahi yeyote kwa Taifa.
Willy Edward ambaye tumewahi kuambiwa alifukuzwa kazi gazeti la Majira kwa kutokujua kazi ya uandishi.ameibuka na makala kumshutumu BOBAN kuwa kadanganya miaka ya kuzaliwa.
WILLY EDWARD wewe ni mzazi wa BOBAN kiasi ujifanye kumjua kuliko wazazi wake?
utapata nini kuandika makala haya? unataka uoneka wewe ni YANGA ZAIDI na unawakomoa simba. hilo sio jibu Mafanikio ya BOBAN NI MAFANIKIO YA TAIFA.
HIVI WEWE UNA SIFA YA UANDISHI? AU UMEHUDHURIA KOZI ZA WIKI MBILI PALE MTANZANIA?