Kansa ya matiti inammaliza mke wangu nikiwa nashuhudia, sina la kufanya. Sijui kama naweza kusahau hili

Mbona una kauli za maudhi namna hiyo?
 
Mfano msaada wa mungu kwenye hili ni upi? Amepunguza maumivu? Ameleta dawa?
 
Upo sahihi mkuu.Mimea inatibu kila aina ya ugonjwa.
 
nipe namba yako Pm kuna madawa kadhaa home made nitaongea na mama yangu mzazi anajua ili akuelekeze utengeneze utumie
 
Kuna Mtaalam mmoja wa Tiba mbadala (Sio Mganga wa Kienyeji)
Anatoka Songea na ndo office yake ilipo, ila sasa namuona anazunguka Mikoani kutibu watu wenye Matatizo mbalimbali!

Sijawahi kushuhudia mafanikio ya Tiba yake, ila mara nyingi nimekua namskia akisema anazo Dawa za Miti shamba zinatibu na kuponya Cancer aina yoyote, na katika Stage yoyote, ngoja nijaribu kummuulizia namba yake...!

Mambo ya Tiba hasa za Asili ni kujaribu bila kuchoka, hasa kwa tatizo kama la Cancer, na uzuri Wataalam wa Tiba Mbadala hawana gharama kubwa kulinganisha na matibabu ya Hospital.
 
Mtumishi wa kweli wa Mungu unayemjua wewe ni yupi?
 
Kwa situation aliyopo anatafuta msaada... Usitumie maneno makali jivi
 
Mfano msaada wa mungu kwenye hili ni upi? Amepunguza maumivu? Ameleta dawa?
Sijaandika kuruhusu mdahalo wa mabishano... Nimetoa ushauri kwa mleta mada.Alafu nikukumbushe tu ukiwa unataka kubishana na mtu jaribu kuelewa kwanza alichoandika. Hakuna mahali nime mwongelea... "mungu" bali nime mwongelea "Mungu". Hivyo kama unatafuta wa kubishana nao kawatafutie huko na sio kwangu.
 
Pole Mkuu
 
Pole Man!

Nimeumizwa sana na Hilo!

Hebu ajaribu urine therapy,ule wa asubuhi na mapema anywe tu was kwake mwenyewe!

Nimeongozwa na mithali 5:15 ,sio tiba ngeni hata mababu,wachina na wahindi hasta king Solomon alitumia!!

Hivyo TU!!

Mgonjwa anaumwa, anakunywa dawa na kupatiwa matibabu. Mgonjwa ana Cancer.

Hii Urine therapy imeekaaje?

Unamshauri mgonjwa wa cancer anywe mkojo wake?

Huo mkojo utakuwa salama?
 

Barikiwa
 
Mgonjwa anaumwa, anakunywa dawa na kupatiwa matibabu. Mgonjwa ana Cancer.

Hii Urine therapy imeekaaje?

Unamshauri mgonjwa wa cancer anywe mkojo wake?

Huo mkojo utakuwa salama?
Hizo dawa alizokunywa Hadi sasa zimeleta usalama was afya take kwa kiasi Gani!!?

Urea from a mammal haijawahi kuwa toxic kama ammonia!!

Hizo medicine from hospital are More toxic than own urea plus water!!
 
Pole sana mkuu na Mungu amsaidie mkeo apate kupona kwa miujiza yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…