Kansa ya matiti inammaliza mke wangu nikiwa nashuhudia, sina la kufanya. Sijui kama naweza kusahau hili

Kaka me naweza kukusaidia kabisa, huwezi amini zipo dawa mkeo anapona kabisa.....kama inawezekana fungua PM yako nakupa no umtafute kuna dada mmoja yeye aliumwa sana mpaka alitaka kukatwa saivi amepona kabisa
Naomba nisaidie tafadhali, japo wangu ameshakatwa.
 
Ahsante sana, nitafanya hivyo kaka
 
Ahsante sana kwa ushauri na faraja yako.

Kuna wachache kweli wanapona ama kuwa na afya njema kabisa. Sijui ni jambo la bahati tu au laah
 
Ahsante sana, huwa tunasema ni mpangobwa Mungu kwa maana huwa tunamwomba sana atuepushe na haya ila tunaishia kuyapata, ndipo tunasema huenda mwenyezi mungu mwenyewe kapanga iwe hivi.
 
Ameen kak. Ahsante pia

Umeshauguza mgonjwa wa namna hii?
 
Hiyo cancer ipo stage gani? It's so sad mtu anapotea na ndugu mnaona huyu anapotea.
Mwanzo wa matibabu hospital ripot ilisema ni stage 2 or 3, kama stage zinapanda sijui kwa sasa ipo stage gani maana yapata miaka miwili sasa imepita
 
Sawa mkuu
 
Ndugu yetu pole sana na pia hongera mno kwakupigania afya ya mke wako.
Nimeshuhudia kwa baadhi ya ndugu wakipata shida na hili tatizo na kiukweli hospital hapajawahi kuwaletea ahueni kabisa.
Ngoja tujaribu kuuliza vizur wale waliopata ahueni walipitia njia gani ambazo zilikuwa mitishamba zaid.
 
Naelewa unachopitia mkuu, ila sitaki kueleza mengi upande huu, haraka sana muanzishie, glass moja ya juice ya kitunguu maji na kuichanganya pamoja na vijiko vitatu vya asali, kabla ya kunywa chochote, kila siku asubuhi na jioni kabla hajala kitu kwa siku 21.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…