Kansa ya matiti inammaliza mke wangu nikiwa nashuhudia, sina la kufanya. Sijui kama naweza kusahau hili

Pole sana,sasa huyo anahitaji dawa za kupoza tu maumivu na kuishi kwa uponyaji wa roho zaidi.Hapo curative stage imeshapita. Na hapo yupo kwenye palliative stage. Anahitaji huduma za kumtia moyo kiroho na kupunguza maumivu mpaka Mungu atakapomchukua.
 
Mkuu kama unaifahamu hiyo tiba ya mmea ebu msaidie kwanza , hii elimu tutaleteana baadaye akishapona, okoa jahazi mkuu
 
AHAKIKISHE ANAPATA HILO TUNDA KILA SIKU ASUBUHI NA JIONI HATA KWA KUNUNUA KWA MUDA USIOPUNGUA MIEZI MI3.

YAANI STAFELI IWE KIFUNGUA NA KIFUNGA KINYWA CHAKE PIA.

Hakuna hasara ataipata wala madhara kwa sababu hilo ni tunda pia.
 

1. Mkuu hilo gonjwa kwao Ocean road nikadhani ..

2. Huko Ifakara na BM yaweza kuwa muda mwingi mmepoteza bila tija ya kutosha.

3. Jipeni moyo, kama uwezekano wa kufika ocean road upo, pamoja na tatizo kubwa la hospitali zetu la urasimu na usumbufu usio na sababu kwa wagonjwa; pangeni kufika huko.

4. Mungu mkubwa msikate tamaa; kubaki nyumbani au kukimbilia kwa mitishamba hakutawasaidia.
 
Pole sana mkuu..mama yangu mdogo pia alikatwa titi lakini baada ya miezi kadhaa maumivu yamerudi ukweli ni kwamba tunachelewa ssana kuijua kansa so inakuwa imeshaenea..anatumia dawa za kienyeji kwa sasa maumivu yamepungua mpaka anaenda clinic wanamshangaa pole sana ninaweza kukulink nitafute DM nikulink nae labda inaweza kusaidia pole mungu akufanyie wepesi
 
AHAKIKISHE ANAPATA HILO TUNDA KILA SIKU ASUBUHI NA JIONI HATA KWA KUNUNUA KWA MUDA USIOPUNGUA MIEZI MI3.

YAANI STAFELI IWE KIFUNGUA NA KIFUNGA KINYWA CHAKE PIA.

Hakuna hasara ataipata wala madhara kwa sababu hilo ni tunda pia.
Ahsante sana
 
Tulimzika classmate kwa kansa ya titi , daah aliacha katoto kadogo sana hopefully now mtoto ana miaka 3, hisi kansa hata usijichoshe na mionzi wekeza sana ktk tiba mimea
Ahsante sana kwa ushuhuda na ushauri
 
🙏🏿🙏🏿
 
Urea from a mammal haijawahi kuwa toxic kama ammonia!!

Hizo medicine from hospital are More toxic than own urea plus water!!
Mkuu unamshaurije anywe kitu ambacho mwili wenyewe umekitoa kama uchafu(taka mwili) ?

Mwili anasema hautaki mkojo then wewe unamshauri anywe mkojo wake uingie mwilini wakati huo mwili mwenyewe anautoa mkojo huo kama uchafu ? Sio sawa mkuu.

Alafu jiulize tu kama mkojo ni dawa endapo utaunywa basi ni kwa nini mkojo huo usingefanya kazi kabla haujatoka mwilini kwa njia ya mkojo ?

mkojo sio dawa kwa mwili bali ni taka mwili,ingelikuwa mkojo ni dawa si ungetiba wakati bado upo mwilini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…