Mkuu kuwa serious basi, unaacha kuulizia dawa wewe unaulizia kansa gani kaka ?Naomba msaada wako pia katika hili,
Alipatwa na kansa eneo gani?
MAdaktari wa kisasa hawana tiba zaidi ya hiyo palliative care kwa mgongwa huyu,wakati huo watu wa tiba za asili wanazo dawa kadha wa kadha za kutibu haya magonjwa.Pole sana,sasa huyo anahitaji dawa za kupoza tu maumivu na kuishi kwa uponyaji wa roho zaidi.Hapo curative stage imeshapita. Na hapo yupo kwenye palliative stage. Anahitaji huduma za kumtia moyo kiroho na kupunguza maumivu mpaka Mungu atakapomchukua.
Pole sana ndugu. Usikate tamaa, nakutafutia namba ya Prof. Malebo, kuna dawa iko kwenye majaribio. Lakini pia NIMRI wametengeneza dawa [kuna mtu ameshihudia nduguye kupona] ingawa ni kwa wenye uvimbe wa kansa, mkeo ameshakatwa titi, sijui kama itasaidia. NIMRI wako Mabibo External, mbele ya EPZ.Yapata miaka miwili imepita tangu mke wangu alipogundulika ana saratani ya matiti, tulianza dozi ya CHEMOTHERAPY pale GOOD SAMARITAN CANCER HOSPITAL Ifakara, tulipatiwa jumla ya mizunguko 8 ya CHEMO, hali ilionekana kuwa nzuri ila ndani ya muda mfupi sana uvimbe ulianza tena.
Baada ya kuona uvimbe umeanza upya tulihamia Dodoma BENJAMIN MKAPA napo tulipatiwa chemo 4 kisha ukafanyika upasuaji ili kuondoa titi lililoathirika na saratani, upasuaji amefanya mwezi wa 4 mwaka huu.
Baada ya upasuaji hali ilionekana kama ipo vizuri, ila baada ya miezi ipatayo mi3 mgonjwa ameanza kusumbuliwa tena.
Anasumbuliwa na; MAUMIVU MAKALI SANA MAHALA ALIPOFANYIWA UPASUAJI
KIDONDA KISICHOPONA (kilianza kidogo sana, kama kiji upele, hatimae kikakua. Hakionyeshi dalili ya kupona.
Najua yote ni mipango ya Mungu, ila sina matumaini kama mke wangu anaweza kupona kwa sasa.
KUNA MTU ASHAWAHI KUUGUZA MGONJWA WA SARATANI naomba ushuhuda ambao unaweza nisaidia cha kufanya.
KAMA KUNA DAWA ZA TIBA MBADALA ULITUMIA ZIKASAIDIA, NAOMBA MSAADA PIA.
Kwa sasa mgonjwa yupo tu nyumbani tunasubiri neema ya Mungu
Ushauri wowote pia napokea.
Ahsante sanaMkuu kuwa serious basi, unaacha kuulizia dawa wewe unaulizia kansa gani kaka ?
Kuwa chap kujua dawa mkuu humu utapata faida nyingi,usianze kupoteza muda kuulizia kansa ya wapi,kansa ni kansa tu mkuu,hakuna muda tafuta dawa uanze chap.
Mastafeli atumie kila siku kwa muda wa miezi mi3 asubuhi na jioni,usipuuze,kubali kuyanunua yawe ndani asikose hayo mastafeli.
Kuna huyo BICHWA KOMWE - mzingatie sana comment zake japokuwa zinakera ila naamini kuna siriz anazijua kuhusu CANCER.
Wacha tuijaribu mkuu huenda ikamsaidiaPole sana ndugu. Usikate tamaa, nakutafutia namba ya Prof. Malebo, kuna dawa iko kwenye majaribio. Lakini pia NIMRI wametengeneza dawa [kuna mtu ameshihudia nduguye kupona] ingawa ni kwa wenye uvimbe wa kansa, mkeo ameshakatwa titi, sijui kama itasaidia. NIMRI wako Mabibo External, mbele ya EPZ.
Vv
Hakuna cha tiba asili inayoweza kutibu cancer. Unajua cancer inavyoharibu cells?Hakuna tiba asili itatibu cancer iliyo stage 4.MAdaktari wa kisasa hawana tiba zaidi ya hiyo palliative care kwa mgongwa huyu,wakati huo watu wa tiba za asili wanazo dawa kadha wa kadha za kutibu haya magonjwa.
We ni MCHAWI tena MPUUZI.Ushauri wangu achana na tiba mbadala ndo zilizo/zinazommaliza mkeo. Afate masharti ya vyakula na vinywaji yanayotolewa kwa wagonjwa wa saratani. Atumie dawa za hospitali pekee kwa matokeo mazuri
Bali KUJIBANIKA KWENYE MIONZI ndio atapona kansa?Hakuna cha tiba asili inayoweza kutibu cancer
No war, tangu niku jue leo Ume ongea point BICHWA KOMWE -CHEMOTHERAPY haiwezi kukuponya KANSA, inakuongezea KANSA. Ni kama unajibanika kwenye TANURU LA MOTO.
Achana na CHEMOTHERAPY, angalia chakula chake cha kila siku ni chakula gani?
Kama una akili timamu, ungelima hapo bustani upande mchicha mwingi ambao hauna MAKEMIKALI, pamoja na KAROTI, hiyo iwe FIRST AID yake.
MAUCHAFU kwenye damu yake pia, SUMUU, UTANDO, MUCUS, afanye namna ya kuondoa yote hayo. DAMU CHAFU.
PAMBANA SANA, ATAPONA KAMA UNA AKILI TIMAMU.
Ukiendelea na MAKEMIKALI na hizo CHEMOTHERAPY utamuangamiza.
Kabisa MkuuComments nyingine za ajabu aise. Huyo Mungu amemsahau mja wake? Kwamba walikuwa hawaombi? Hata kama,baada ya maumivu makali hakuomba? Mungu gani wa kumuacha mtu ateseke kiasi hicho? Mungu wako hana msaada wowote kwa hilo,mleta mada angekuwa na shida hiyo,makanisa anajua yalipo. Hapa si pa kuleta hizo abc
Hivi mkuu,unajua mpaka leo hii hata kwa magonjwa mepesi watu wanakufa kwa ujinga huu! Mtu anaumwa,wengine eti mleteni kanisani tumuombee. Mwisho wasiku wahuni wengine wanakwambia maji ya kumuogesha yaliobalikiwa,yatanunuliwa kwa mchungaji furani,na ni elfu 50. Familia itachanga ipatikane,walete maji ya bomba,mtu atakufa.Kabisa Mkuu
Mungu ni false hopes.
Watu wanajipa matumaini ya uongo kwa fictional character Mungu asiye kuwepo.
Inabidi ushauri wa kitiba zaidi sio imani za kufikirika.
Hoi ni tiba halisi, nina ushuhuda prospillaMkuu kuwa serious basi, unaacha kuulizia dawa wewe unaulizia kansa gani kaka ?
Kuwa chap kujua dawa mkuu humu utapata faida nyingi,usianze kupoteza muda kuulizia kansa ya wapi,kansa ni kansa tu mkuu,hakuna muda tafuta dawa uanze chap.
Mastafeli atumie kila siku kwa muda wa miezi mi3 asubuhi na jioni,usipuuze,kubali kuyanunua yawe ndani asikose hayo mastafeli.
Kuna huyo BICHWA KOMWE - mzingatie sana comment zake japokuwa zinakera ila naamini kuna siriz anazijua kuhusu CANCER.
Inachelewesha kufa tu.Ila kupona haponi.Bali KUJIBANIKA KWENYE MIONZI ndio atapona kansa?
Kwenye kihangaikia maisha,kila aina ya kinalowezekana,lazima. Nadhani hata walioleta hiyo mionzi,wanajua ina msaada japo kidogo.Inachelewesha kufa tu.Ila kupona haponi.
Ngabire nagabiwe nkundira....Inachelewesha kufa tu.Ila kupona haponi.
we utakuwa mganga wa jadi. huwezi kuandika huu utoporo kwa mtu anaeuguza saratani ,hujui machungu anayopitia munastahili kuitwa mpuuziYapata miaka miwili imepita tangu mke wangu alipogundulika ana saratani ya matiti, tulianza dozi ya CHEMOTHERAPY pale GOOD SAMARITAN CANCER HOSPITAL Ifakara, tulipatiwa jumla ya mizunguko 8 ya CHEMO, hali ilionekana kuwa nzuri ila ndani ya muda mfupi sana uvimbe ulianza tena.
Baada ya kuona uvimbe umeanza upya tulihamia Dodoma BENJAMIN MKAPA napo tulipatiwa chemo 4 kisha ukafanyika upasuaji ili kuondoa titi lililoathirika na saratani, upasuaji amefanya mwezi wa 4 mwaka huu.
Baada ya upasuaji hali ilionekana kama ipo vizuri, ila baada ya miezi ipatayo mi3 mgonjwa ameanza kusumbuliwa tena.
Anasumbuliwa na; MAUMIVU MAKALI SANA MAHALA ALIPOFANYIWA UPASUAJI
KIDONDA KISICHOPONA (kilianza kidogo sana, kama kiji upele, hatimae kikakua. Hakionyeshi dalili ya kupona.
Najua yote ni mipango ya Mungu, ila sina matumaini kama mke wangu anaweza kupona kwa sasa.
KUNA MTU ASHAWAHI KUUGUZA MGONJWA WA SARATANI naomba ushuhuda ambao unaweza nisaidia cha kufanya.
KAMA KUNA DAWA ZA TIBA MBADALA ULITUMIA ZIKASAIDIA, NAOMBA MSAADA PIA.
Kwa sasa mgonjwa yupo tu nyumbani tunasubiri neema ya Mungu
Ushauri wowote pia napokea.