Kansa ya matiti inammaliza mke wangu nikiwa nashuhudia, sina la kufanya. Sijui kama naweza kusahau hili

Kansa ya matiti inammaliza mke wangu nikiwa nashuhudia, sina la kufanya. Sijui kama naweza kusahau hili

Naomba msaada wako pia katika hili,

Alipatwa na kansa eneo gani?
Mkuu kuwa serious basi, unaacha kuulizia dawa wewe unaulizia kansa gani kaka ?

Kuwa chap kujua dawa mkuu humu utapata faida nyingi,usianze kupoteza muda kuulizia kansa ya wapi,kansa ni kansa tu mkuu,hakuna muda tafuta dawa uanze chap.

Mastafeli atumie kila siku kwa muda wa miezi mi3 asubuhi na jioni,usipuuze,kubali kuyanunua yawe ndani asikose hayo mastafeli.

Kuna huyo BICHWA KOMWE - mzingatie sana comment zake japokuwa zinakera ila naamini kuna siriz anazijua kuhusu CANCER.
 
Pole sana,sasa huyo anahitaji dawa za kupoza tu maumivu na kuishi kwa uponyaji wa roho zaidi.Hapo curative stage imeshapita. Na hapo yupo kwenye palliative stage. Anahitaji huduma za kumtia moyo kiroho na kupunguza maumivu mpaka Mungu atakapomchukua.
MAdaktari wa kisasa hawana tiba zaidi ya hiyo palliative care kwa mgongwa huyu,wakati huo watu wa tiba za asili wanazo dawa kadha wa kadha za kutibu haya magonjwa.
 
Yapata miaka miwili imepita tangu mke wangu alipogundulika ana saratani ya matiti, tulianza dozi ya CHEMOTHERAPY pale GOOD SAMARITAN CANCER HOSPITAL Ifakara, tulipatiwa jumla ya mizunguko 8 ya CHEMO, hali ilionekana kuwa nzuri ila ndani ya muda mfupi sana uvimbe ulianza tena.

Baada ya kuona uvimbe umeanza upya tulihamia Dodoma BENJAMIN MKAPA napo tulipatiwa chemo 4 kisha ukafanyika upasuaji ili kuondoa titi lililoathirika na saratani, upasuaji amefanya mwezi wa 4 mwaka huu.

Baada ya upasuaji hali ilionekana kama ipo vizuri, ila baada ya miezi ipatayo mi3 mgonjwa ameanza kusumbuliwa tena.

Anasumbuliwa na; MAUMIVU MAKALI SANA MAHALA ALIPOFANYIWA UPASUAJI
KIDONDA KISICHOPONA (kilianza kidogo sana, kama kiji upele, hatimae kikakua. Hakionyeshi dalili ya kupona.

Najua yote ni mipango ya Mungu, ila sina matumaini kama mke wangu anaweza kupona kwa sasa.

KUNA MTU ASHAWAHI KUUGUZA MGONJWA WA SARATANI naomba ushuhuda ambao unaweza nisaidia cha kufanya.

KAMA KUNA DAWA ZA TIBA MBADALA ULITUMIA ZIKASAIDIA, NAOMBA MSAADA PIA.

Kwa sasa mgonjwa yupo tu nyumbani tunasubiri neema ya Mungu

Ushauri wowote pia napokea.
Pole sana ndugu. Usikate tamaa, nakutafutia namba ya Prof. Malebo, kuna dawa iko kwenye majaribio. Lakini pia NIMRI wametengeneza dawa [kuna mtu ameshihudia nduguye kupona] ingawa ni kwa wenye uvimbe wa kansa, mkeo ameshakatwa titi, sijui kama itasaidia. NIMRI wako Mabibo External, mbele ya EPZ.

Vv
 
Mkuu kuwa serious basi, unaacha kuulizia dawa wewe unaulizia kansa gani kaka ?

Kuwa chap kujua dawa mkuu humu utapata faida nyingi,usianze kupoteza muda kuulizia kansa ya wapi,kansa ni kansa tu mkuu,hakuna muda tafuta dawa uanze chap.

Mastafeli atumie kila siku kwa muda wa miezi mi3 asubuhi na jioni,usipuuze,kubali kuyanunua yawe ndani asikose hayo mastafeli.

Kuna huyo BICHWA KOMWE - mzingatie sana comment zake japokuwa zinakera ila naamini kuna siriz anazijua kuhusu CANCER.
Ahsante sana
 
Pole sana ndugu. Usikate tamaa, nakutafutia namba ya Prof. Malebo, kuna dawa iko kwenye majaribio. Lakini pia NIMRI wametengeneza dawa [kuna mtu ameshihudia nduguye kupona] ingawa ni kwa wenye uvimbe wa kansa, mkeo ameshakatwa titi, sijui kama itasaidia. NIMRI wako Mabibo External, mbele ya EPZ.

Vv
Wacha tuijaribu mkuu huenda ikamsaidia
 
MAdaktari wa kisasa hawana tiba zaidi ya hiyo palliative care kwa mgongwa huyu,wakati huo watu wa tiba za asili wanazo dawa kadha wa kadha za kutibu haya magonjwa.
Hakuna cha tiba asili inayoweza kutibu cancer. Unajua cancer inavyoharibu cells?Hakuna tiba asili itatibu cancer iliyo stage 4.
 
Ushauri wangu achana na tiba mbadala ndo zilizo/zinazommaliza mkeo. Afate masharti ya vyakula na vinywaji yanayotolewa kwa wagonjwa wa saratani. Atumie dawa za hospitali pekee kwa matokeo mazuri
We ni MCHAWI tena MPUUZI.

Umeambiwa kwamba mkewe kapata hali mbaya baada ya KUPIGWA MIONZI na KUMEZA MADAWA YA HOSPITALI YENYE KEMIKALI.

Acha kugeuza MANENO. MIONZI HAIFAIIIIII.

Hakuna aliyepona kansa kwa KUJIBANIKA KWENYE MIONZI. Ni URONGOO
 
CHEMOTHERAPY haiwezi kukuponya KANSA, inakuongezea KANSA. Ni kama unajibanika kwenye TANURU LA MOTO.

Achana na CHEMOTHERAPY, angalia chakula chake cha kila siku ni chakula gani?

Kama una akili timamu, ungelima hapo bustani upande mchicha mwingi ambao hauna MAKEMIKALI, pamoja na KAROTI, hiyo iwe FIRST AID yake.

MAUCHAFU kwenye damu yake pia, SUMUU, UTANDO, MUCUS, afanye namna ya kuondoa yote hayo. DAMU CHAFU.

PAMBANA SANA, ATAPONA KAMA UNA AKILI TIMAMU.

Ukiendelea na MAKEMIKALI na hizo CHEMOTHERAPY utamuangamiza.
No war, tangu niku jue leo Ume ongea point BICHWA KOMWE -
 
Comments nyingine za ajabu aise. Huyo Mungu amemsahau mja wake? Kwamba walikuwa hawaombi? Hata kama,baada ya maumivu makali hakuomba? Mungu gani wa kumuacha mtu ateseke kiasi hicho? Mungu wako hana msaada wowote kwa hilo,mleta mada angekuwa na shida hiyo,makanisa anajua yalipo. Hapa si pa kuleta hizo abc
Kabisa Mkuu

Mungu ni false hopes.

Watu wanajipa matumaini ya uongo kwa fictional character Mungu asiye kuwepo.

Inabidi ushauri wa kitiba zaidi sio imani za kufikirika.
 
Kabisa Mkuu

Mungu ni false hopes.

Watu wanajipa matumaini ya uongo kwa fictional character Mungu asiye kuwepo.

Inabidi ushauri wa kitiba zaidi sio imani za kufikirika.
Hivi mkuu,unajua mpaka leo hii hata kwa magonjwa mepesi watu wanakufa kwa ujinga huu! Mtu anaumwa,wengine eti mleteni kanisani tumuombee. Mwisho wasiku wahuni wengine wanakwambia maji ya kumuogesha yaliobalikiwa,yatanunuliwa kwa mchungaji furani,na ni elfu 50. Familia itachanga ipatikane,walete maji ya bomba,mtu atakufa.
Tangu lini huyo Mungu akaponya?
Kama uwezo huo anao,kwa nini hospitali na famasi ziwepo? Kwa nini kwenye operation nyingi mtu afie sieta kama anaponya?
Mara mia unyamaze,lakini vitu kama hivi vya kuchanganya watu hapana. Hapo mwingine nae kaja eti mkojo wa asubuhi! Kweli? Kama ni tiba,na unatoka mwilini,kwa nini mtu asipone!
 
Mkuu kuwa serious basi, unaacha kuulizia dawa wewe unaulizia kansa gani kaka ?

Kuwa chap kujua dawa mkuu humu utapata faida nyingi,usianze kupoteza muda kuulizia kansa ya wapi,kansa ni kansa tu mkuu,hakuna muda tafuta dawa uanze chap.

Mastafeli atumie kila siku kwa muda wa miezi mi3 asubuhi na jioni,usipuuze,kubali kuyanunua yawe ndani asikose hayo mastafeli.

Kuna huyo BICHWA KOMWE - mzingatie sana comment zake japokuwa zinakera ila naamini kuna siriz anazijua kuhusu CANCER.
Hoi ni tiba halisi, nina ushuhuda prospilla
 
prospilla, safuher, BICHWA KOMWE - chukueni tiba hiyo.
Screenshot_20231223-130719_2.jpg
 
Chief pole sana,Breast cancer ni moja cancer ngumu sana kupina ikivuka stage 1,lakini pia kuna zingine hata ukiiwahi stage 1 mgonjwa ataishi nayo mpaka itamuondoa. Usipoteze hela zako kutafuta tiba mbadala,waulize madaktari wako wakwambie ukweli,kama haiwezekani kupona.

Mara nyingi nchi za wenzetu ikifika level mbaya huwa Wana manage mgonjwa kwa dawa za maumivu ,maombi ,sala na toba . Ikubali hali halisi kisha anzeni kufanya maandalizi pamoja. Kuna bro wangu alifiwa na mkewe kwa cancer ya ziwa 2021 akiwa kwa mganga wa asili. Baada ya kuona hospital wameshindwa alimhamishia huko japo kwa ushauri wa madokta ilitakiwa arudi tu nyumbani.
 
Chief pole sana,Breast cancer ni moja cancer ngumu sana kupina ikivuka stage 1,lakini pia kuna zingine hata ukiiwahi stage 1 mgonjwa ataishi nayo mpaka itamuondoa. Usipoteze hela zako kutafuta tiba mbadala,waulize madaktari wako wakwambie ukweli,kama haiwezekani kupona.

Mara nyingi nchi za wenzetu ikifika level mbaya huwa Wana manage mgonjwa kwa dawa za maumivu ,maombi ,sala na toba . Ikubali hali halisi kisha anzeni kufanya maandalizi pamoja. Kuna bro wangu alifiwa na mkewe kwa cancer ya ziwa 2021 akiwa kwa mganga wa asili. Baada ya kuona hospital wameshindwa alimhamishia huko japo kwa ushauri wa madokta ilitakiwa arudi tu nyumbani.
 
Inachelewesha kufa tu.Ila kupona haponi.
Kwenye kihangaikia maisha,kila aina ya kinalowezekana,lazima. Nadhani hata walioleta hiyo mionzi,wanajua ina msaada japo kidogo.
Mtoa mada amesema(kama sikosei ni yeye),kwamba ni titi la karibu na moyo,kama alihofia hiyo mionzi itaathiri moyo. Nadhani wanaoitumia wanajua cha kufanya, kwa hiyo asiache kumpeleka.
 
Pia jaribu kuchemsha mizizi ya mlonge kunywa kikombe kimoja like Cha nusu lita asubuhi na jioni Kwa mwezi mmoja!

Nimesoma Mahalia mlonge ni anti Cancer!
 
Yapata miaka miwili imepita tangu mke wangu alipogundulika ana saratani ya matiti, tulianza dozi ya CHEMOTHERAPY pale GOOD SAMARITAN CANCER HOSPITAL Ifakara, tulipatiwa jumla ya mizunguko 8 ya CHEMO, hali ilionekana kuwa nzuri ila ndani ya muda mfupi sana uvimbe ulianza tena.

Baada ya kuona uvimbe umeanza upya tulihamia Dodoma BENJAMIN MKAPA napo tulipatiwa chemo 4 kisha ukafanyika upasuaji ili kuondoa titi lililoathirika na saratani, upasuaji amefanya mwezi wa 4 mwaka huu.

Baada ya upasuaji hali ilionekana kama ipo vizuri, ila baada ya miezi ipatayo mi3 mgonjwa ameanza kusumbuliwa tena.

Anasumbuliwa na; MAUMIVU MAKALI SANA MAHALA ALIPOFANYIWA UPASUAJI
KIDONDA KISICHOPONA (kilianza kidogo sana, kama kiji upele, hatimae kikakua. Hakionyeshi dalili ya kupona.

Najua yote ni mipango ya Mungu, ila sina matumaini kama mke wangu anaweza kupona kwa sasa.

KUNA MTU ASHAWAHI KUUGUZA MGONJWA WA SARATANI naomba ushuhuda ambao unaweza nisaidia cha kufanya.

KAMA KUNA DAWA ZA TIBA MBADALA ULITUMIA ZIKASAIDIA, NAOMBA MSAADA PIA.

Kwa sasa mgonjwa yupo tu nyumbani tunasubiri neema ya Mungu

Ushauri wowote pia napokea.
we utakuwa mganga wa jadi. huwezi kuandika huu utoporo kwa mtu anaeuguza saratani ,hujui machungu anayopitia munastahili kuitwa mpuuzi
 
Back
Top Bottom