Kansa ya matiti inammaliza mke wangu nikiwa nashuhudia, sina la kufanya. Sijui kama naweza kusahau hili

Ahsante sana
Pole sana Mkuu
Umepambana sana,Mungu ameona mapambano yako ila jua tu Mungu anaweza kufanya mambo yote,na wala makusudi yake hayazuiliki.
We may have our own plan but God has last say.

Apumzike kwa amani Mkeo Mpenzi,
Bwana alitoa na sasa ametwaa,jina la Bwana lihimidiwe.

Pole kwa familia,Mungu aliyemchukua mpendwa wenu ndiye pekee anajua namna nzuri ya kuwapitisha kwenye maumivu.
 
HAIJAWA BAHATI KWANGU, SARATANI IMESHINDA VITA YA KUPIGANIA UHAI NA MKE WANGU
Maumivu unayo.. Tena maumivu hasa..

Pole Sana .. .. kaza moyo usije kuathirika .. mna mtoto anahitaji mapenzi ya baba zaidi kwa sasa maana mama ndio keshatwaliwa!

M/Mungu akufanyie wepesi InshaAllah
 
Nimeikuta hii sehemu sijui kama inaweza kusidia
 
HAIJAWA BAHATI KWANGU, SARATANI IMESHINDA VITA YA KUPIGANIA UHAI NA MKE WANGU

Pole sana mkuu[emoji24][emoji22]
Mwenyezi Mungu akawe mfariji kwako na kwa familia katika kipindi hiki kigumu mnachokipitia.

[emoji1431][emoji1431][emoji1431][emoji1431][emoji1431]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…