Kansa ya matiti inammaliza mke wangu nikiwa nashuhudia, sina la kufanya. Sijui kama naweza kusahau hili

Kansa ya matiti inammaliza mke wangu nikiwa nashuhudia, sina la kufanya. Sijui kama naweza kusahau hili

Ndugu yetu pole sana na pia hongera mno kwakupigania afya ya mke wako.
Nimeshuhudia kwa baadhi ya ndugu wakipata shida na hili tatizo na kiukweli hospital hapajawahi kuwaletea ahueni kabisa.
Ngoja tujaribu kuuliza vizur wale waliopata ahueni walipitia njia gani ambazo zilikuwa mitishamba zaid.
Ahsante sana kaka
 
Naelewa unachopitia mkuu, ila sitaki kueleza mengi upande huu, haraka sana muanzishie, glass moja ya juice ya kitunguu maji na kuichanganya pamoja na vijiko vitatu vya asali, kabla ya kunywa chochote, kila siku asubuhi na jioni kabla hajala kitu kwa siku 21.
Ahsante sana kaka.
 
Yapata miaka miwili imepita tangu mke wangu alipogundulika ana saratani ya matiti, tulianza dozi ya CHEMOTHERAPY pale GOOD SAMARITAN CANCER HOSPITAL Ifakara, tulipatiwa jumla ya mizunguko 8 ya CHEMO, hali ilionekana kuwa nzuri ila ndani ya muda mfupi sana uvimbe ulianza tena.

Baada ya kuona uvimbe umeanza upya tulihamia Dodoma BENJAMIN MKAPA napo tulipatiwa chemo 4 kisha ukafanyika upasuaji ili kuondoa titi lililoathirika na saratani, upasuaji amefanya mwezi wa 4 mwaka huu.

Baada ya upasuaji hali ilionekana kama ipo vizuri, ila baada ya miezi ipatayo mi3 mgonjwa ameanza kusumbuliwa tena.

Anasumbuliwa na; MAUMIVU MAKALI SANA MAHALA ALIPOFANYIWA UPASUAJI
KIDONDA KISICHOPONA (kilianza kidogo sana, kama kiji upele, hatimae kikakua. Hakionyeshi dalili ya kupona.

Najua yote ni mipango ya Mungu, ila sina matumaini kama mke wangu anaweza kupona kwa sasa.

KUNA MTU ASHAWAHI KUUGUZA MGONJWA WA SARATANI naomba ushuhuda ambao unaweza nisaidia cha kufanya.

KAMA KUNA DAWA ZA TIBA MBADALA ULITUMIA ZIKASAIDIA, NAOMBA MSAADA PIA.

Kwa sasa mgonjwa yupo tu nyumbani tunasubiri neema ya Mungu

Ushauri wowote pia napokea.
Pole sana
 
Hilo neno la kusema yote mipango ya Mungu ndipo mnampa Ibilisi ruhusa ya kuwapiga zaidi.
Yaani mipango ya Mungu mwanadamu ateseke?
Hiyo ni mipango ya Ibilisi.
Screenshot_20231223-081800.jpg
 
Katika MAISHA changamoto huwa zipo Ila katikati ya Giza hakikisha wewe unasimama UPANDE wa nuru.

Ur wife she there don't forget to show her the hope all the time.

Having the morning and night rituals as well give to hear self-healing that the remedies will lead her into relief.

Tunakufatilia na tupo na wewe upo mkoa gani kaka?
 
Ukitaka kujua uzito wa dunia basi vaa viatu vya huyu mleta mada,

Nikupongeze kwa kutomkimbia mkeo kwa dunia ya leo unahitaji tuzo ya kipekee, kuna wanaume humu huwa wanadhihaki nyonyo ndala sasa wako amekatwa na bado unamthamini hivi,

Niliwahi kuona mkaka jirani na nilipokuwa alikuwa na kansa ya koo😭 mwaka juzi, amefariki mwaka jana, yule kaka alikuwa anatoa machozi ya damu yani maji ya machoni ilikuwa ni damu, kwa macho yangu nilikuwa naogopa hata kumtizama, inatisha nyie, tujidao tu ila ukiona u mzima unatembea unaringa ni kwa neema tu, kiukweli sijawahi ku experience hii kitu kusema nina msaada ila majani ya mstafeli kama walivyoandika wadau wengine nasikia yanasaidia kuna kipindi nilikuwa namtengenezea mzee home (kumkinga na tezi dume)tena ngoja nimkumbushe,

Msalimie mgonjwa na pole kwa kuuguza Mungu awatie faraja na kuwafanyia wepesi katika nyakati hizi ngumu
 
Yapata miaka miwili imepita tangu mke wangu alipogundulika ana saratani ya matiti, tulianza dozi ya CHEMOTHERAPY pale GOOD SAMARITAN CANCER HOSPITAL Ifakara, tulipatiwa jumla ya mizunguko 8 ya CHEMO, hali ilionekana kuwa nzuri ila ndani ya muda mfupi sana uvimbe ulianza tena.

Baada ya kuona uvimbe umeanza upya tulihamia Dodoma BENJAMIN MKAPA napo tulipatiwa chemo 4 kisha ukafanyika upasuaji ili kuondoa titi lililoathirika na saratani, upasuaji amefanya mwezi wa 4 mwaka huu.

Baada ya upasuaji hali ilionekana kama ipo vizuri, ila baada ya miezi ipatayo mi3 mgonjwa ameanza kusumbuliwa tena.

Anasumbuliwa na; MAUMIVU MAKALI SANA MAHALA ALIPOFANYIWA UPASUAJI
KIDONDA KISICHOPONA (kilianza kidogo sana, kama kiji upele, hatimae kikakua. Hakionyeshi dalili ya kupona.

Najua yote ni mipango ya Mungu, ila sina matumaini kama mke wangu anaweza kupona kwa sasa.

KUNA MTU ASHAWAHI KUUGUZA MGONJWA WA SARATANI naomba ushuhuda ambao unaweza nisaidia cha kufanya.

KAMA KUNA DAWA ZA TIBA MBADALA ULITUMIA ZIKASAIDIA, NAOMBA MSAADA PIA.

Kwa sasa mgonjwa yupo tu nyumbani tunasubiri neema ya Mungu

Ushauri wowote pia napokea.
Pole mkuu.. mimi nimeuguza baba kwa saratani ya titi nashukuru Mungu yupo poa anaendelea na shughuli zake kama kawaida mwaka wa saba huu. Sisi tulizingatia na tunazingatia matibabu ya hospital kwa asilimia 100. Alianza na upasuaji ikaja chemo kisha mionzi. Saivi huwa anaudhuria clinic na kunywa dawa wanazopewa. Ushauri wangu achana na tiba mbadala ndo zilizo/zinazommaliza mkeo. Afate masharti ya vyakula na vinywaji yanayotolewa kwa wagonjwa wa saratani. Atumie dawa za hospitali pekee kwa matokeo mazuri
 
Aanze sasa hivi kutumia dawa zifuatazo, ingawa kachelewa kidogo kwa jinsi ulivyoelezea, sbb cancer ina stages, ukiwahi mapema hospital, unapona kabisa, ila Mungu yupo, do this ASAP

1: Habbat Soda or Black seed Oil, zipo nyingi Kkoo, dose walau kijiko kimoja cha chakula asubuhi na moja jioni kwa hali aliyonayo:

Chupa ndogo inauzwa tshs 10,000 nunua hata chupa 10 ziweke ndani, ina harufu kidogo ila atumie.
IMG_2033.jpeg


2: Tumia haya majani ya mstafeli haraka sana alafu uje ulete majibu humu


View: https://youtu.be/Sz7UO8khRTA?si=NnCeARoMnJwmp2aP


View: https://youtu.be/wxvAFdwp7rw?si=EWKLZfnVHR33uaql

Majani ya Mstafeli saga na kunywa juice yake ikiwa mbichi, aweke maji tu, kila siku kikombe kimoja asubuhi na jioni, hii wanasema ina uwezo mara 10,000 zaidi kutibu cancer aina yoyote kuliko Chemo… Narudia wanasema ina uwezo mara elfu 10 ( 10,000) kutibu cancer yoyote kuliko Chemo.. Pia fuatilia online kuna vyakula ukiwa na cancer hatakiwi kula kabisa.

Pole sana na Mungu Baba wa Mbinguni amponye haraka mke wako.
 
Yapata miaka miwili imepita tangu mke wangu alipogundulika ana saratani ya matiti, tulianza dozi ya CHEMOTHERAPY pale GOOD SAMARITAN CANCER HOSPITAL Ifakara, tulipatiwa jumla ya mizunguko 8 ya CHEMO, hali ilionekana kuwa nzuri ila ndani ya muda mfupi sana uvimbe ulianza tena.

Baada ya kuona uvimbe umeanza upya tulihamia Dodoma BENJAMIN MKAPA napo tulipatiwa chemo 4 kisha ukafanyika upasuaji ili kuondoa titi lililoathirika na saratani, upasuaji amefanya mwezi wa 4 mwaka huu.

Baada ya upasuaji hali ilionekana kama ipo vizuri, ila baada ya miezi ipatayo mi3 mgonjwa ameanza kusumbuliwa tena.

Anasumbuliwa na; MAUMIVU MAKALI SANA MAHALA ALIPOFANYIWA UPASUAJI
KIDONDA KISICHOPONA (kilianza kidogo sana, kama kiji upele, hatimae kikakua. Hakionyeshi dalili ya kupona.

Najua yote ni mipango ya Mungu, ila sina matumaini kama mke wangu anaweza kupona kwa sasa.

KUNA MTU ASHAWAHI KUUGUZA MGONJWA WA SARATANI naomba ushuhuda ambao unaweza nisaidia cha kufanya.

KAMA KUNA DAWA ZA TIBA MBADALA ULITUMIA ZIKASAIDIA, NAOMBA MSAADA PIA.

Kwa sasa mgonjwa yupo tu nyumbani tunasubiri neema ya Mungu

Ushauri wowote pia napokea.
Mpeleke kw Mwamposa kawa
 
Yapata miaka miwili imepita tangu mke wangu alipogundulika ana saratani ya matiti, tulianza dozi ya CHEMOTHERAPY pale GOOD SAMARITAN CANCER HOSPITAL Ifakara, tulipatiwa jumla ya mizunguko 8 ya CHEMO, hali ilionekana kuwa nzuri ila ndani ya muda mfupi sana uvimbe ulianza tena.

Baada ya kuona uvimbe umeanza upya tulihamia Dodoma BENJAMIN MKAPA napo tulipatiwa chemo 4 kisha ukafanyika upasuaji ili kuondoa titi lililoathirika na saratani, upasuaji amefanya mwezi wa 4 mwaka huu.

Baada ya upasuaji hali ilionekana kama ipo vizuri, ila baada ya miezi ipatayo mi3 mgonjwa ameanza kusumbuliwa tena.

Anasumbuliwa na; MAUMIVU MAKALI SANA MAHALA ALIPOFANYIWA UPASUAJI
KIDONDA KISICHOPONA (kilianza kidogo sana, kama kiji upele, hatimae kikakua. Hakionyeshi dalili ya kupona.

Najua yote ni mipango ya Mungu, ila sina matumaini kama mke wangu anaweza kupona kwa sasa.

KUNA MTU ASHAWAHI KUUGUZA MGONJWA WA SARATANI naomba ushuhuda ambao unaweza nisaidia cha kufanya.

KAMA KUNA DAWA ZA TIBA MBADALA ULITUMIA ZIKASAIDIA, NAOMBA MSAADA PIA.

Kwa sasa mgonjwa yupo tu nyumbani tunasubiri neema ya Mungu

Ushauri wowote pia napokea.
Screenshot_20231223-085026_Chrome.jpg

Pole tena ndugu yangu, kuna uzi aliposti hapa member mmoja kwa shida kama huo, kuna hio comment embu ona kama inaweza kukusaidia
 
 
Yapata miaka miwili imepita tangu mke wangu alipogundulika ana saratani ya matiti, tulianza dozi ya CHEMOTHERAPY pale GOOD SAMARITAN CANCER HOSPITAL Ifakara, tulipatiwa jumla ya mizunguko 8 ya CHEMO, hali ilionekana kuwa nzuri ila ndani ya muda mfupi sana uvimbe ulianza tena.

Baada ya kuona uvimbe umeanza upya tulihamia Dodoma BENJAMIN MKAPA napo tulipatiwa chemo 4 kisha ukafanyika upasuaji ili kuondoa titi lililoathirika na saratani, upasuaji amefanya mwezi wa 4 mwaka huu.

Baada ya upasuaji hali ilionekana kama ipo vizuri, ila baada ya miezi ipatayo mi3 mgonjwa ameanza kusumbuliwa tena.

Anasumbuliwa na; MAUMIVU MAKALI SANA MAHALA ALIPOFANYIWA UPASUAJI
KIDONDA KISICHOPONA (kilianza kidogo sana, kama kiji upele, hatimae kikakua. Hakionyeshi dalili ya kupona.

Najua yote ni mipango ya Mungu, ila sina matumaini kama mke wangu anaweza kupona kwa sasa.

KUNA MTU ASHAWAHI KUUGUZA MGONJWA WA SARATANI naomba ushuhuda ambao unaweza nisaidia cha kufanya.

KAMA KUNA DAWA ZA TIBA MBADALA ULITUMIA ZIKASAIDIA, NAOMBA MSAADA PIA.

Kwa sasa mgonjwa yupo tu nyumbani tunasubiri neema ya Mungu

Ushauri wowote pia napokea.
Habari, pole sana kaka kuna mama yupo Dar es salaam Kariakoo naomba uwasiliane nae kisha kama ata kwambia uende au vipi, endapo akisema muonane basis beba vipimo vyote mlivyo Pima hospital. Naamini mwenyezi mungu ata msaidia mke wako ukisha anza tiba kwa huyo mama. 0754418972
 
Back
Top Bottom