kama hakuna wataalamu wengine wafanye nini? then kazi hamnunui kazi ku burn cd, watapata wapi pesa za kuwalipa watu wote hao?
Mimi nimejaribu kumfuatilia huyu Ray Kigosi, yaani kwenye filamu zake akiwa ameAct kama amekasirika anaonekana ametabasamu , akiwa anatabasamu anaonekana anacheka! Filamu za bongo nyie wacheni tu
Tajiri gani anaropoka ropoka bana! wanaigiza nyumba nzuri,gari mzuri lakini bado wanamakelele meeeeeeengi, Kuiga kwiiiiingi! unaangalia unajua kabisa anaigiza, uhalisia hakuna kabisa
Mimi nimejaribu kumfuatilia huyu Ray Kigosi, yaani kwenye filamu zake akiwa ameAct kama amekasirika anaonekana ametabasamu , akiwa anatabasamu anaonekana anacheka! Filamu za bongo nyie wacheni tu
kama viongozi wa nchi na wasomi hawana ubunifu unategemea nini kwa vijana kama hao ambao hata elimu yao ni ya mashaka.kama huyo ray kipaji zero Kabisa, watazamaji wao wengi ni ma house girl na mashangingi. ushauri wangu waende chuo cha bagamoyo. PENYE NIA PANA NJIA!!!!!nimevumilia nimechoka hiv ray na kanumba hamuoni au kuiga mifano ya filamu za nje kwa sababu utakuta STORY kanumba SCRIPT kanumba DIRECTOR kanumba EXECUTIVE PRODUCER kanumba hivi katika hali ya kawaida hii kazi itakuwa na ubunifu gani kanumba na ray katika kuhakikisha hilo chukueni kazi zenu za mwaka juzi mwaka jana mtaona zinavyo fanana kimazingira kimaneno hata mavazi badilikeni bwana
Kama sikosei jina lako halisi ni porn star hili lingine ulipewa na max tu hapa! vp za siku nyingi? ila nakushangaa unapoteza muda wako kumwangalia kanumba na wenzie? huna kitu cha Kufanya? unaangalia filamu ambazo unaujua mwisho wake ukiangalia dakika ya mwanzo tu! tafuta movie za maana angalia! hizi za kibongo labda kama una hamu ya kuona mapaja ya akina uwoya na wenzie sawa! lakini hakuna cha zaidi!nimevumilia nimechoka hiv ray na kanumba hamuoni au kuiga mifano ya filamu za nje kwa sababu utakuta STORY kanumba SCRIPT kanumba DIRECTOR kanumba EXECUTIVE PRODUCER kanumba hivi katika hali ya kawaida hii kazi itakuwa na ubunifu gani kanumba na ray katika kuhakikisha hilo chukueni kazi zenu za mwaka juzi mwaka jana mtaona zinavyo fanana kimazingira kimaneno hata mavazi badilikeni bwana
sinaga muda wa kuwaangalia hao ushuzi wawili...
Bora nimuangalie Mamaa Cherokee anavyolimong'onyoa uno na kumridhisha Mr Marcus au Hata Muheshimiwa Mandingo
sinaga muda wa kuwaangalia hao ushuzi wawili...
Bora nimuangalie Mamaa Cherokee anavyolimong'onyoa uno na kumridhisha Mr Marcus au Hata Muheshimiwa Mandingo
tena huyu mamaa cherokee hata akitoa behind the scene tu mauzo lzm yafike platnum
mimi nimejaribu kumfuatilia huyu ray kigosi, yaani kwenye filamu zake akiwa ameact kama amekasirika anaonekana ametabasamu , akiwa anatabasamu anaonekana anacheka! Filamu za bongo nyie wacheni tu