Ubaya Ubwela
JF-Expert Member
- Jul 24, 2024
- 1,353
- 3,060
Tamaa za tff wanavuna wasipopandaMchezaji yeyote wa Kigeni anayesajiliwa katika Ligi Kuu atalipiwa ada maalum ya Sh. 8,000,000 (milioni nane) kwa msimu ili usajili wake uweze kuthibitishwa na kuruhusiwa kucheza.
Kwa wacheaji 12 ni Sawa na 96M,
ni pungufu kidogo na pesa anayopata mshindi wa Ligi ya NBC..
CHAMBUAView attachment 3064478
Thats the plan, hiyo pesa ni ndogo sana kwa wawekezaji kwenye teamLigi inaenda kukosa ushindani kwa Tamaa za TFF kukusanya mapato
Wajumbe wa bodi ya ligi ni wenyeviti wa vilabu.Hiyo kanuni clubs zilishirilishwa? Ilikuwaje ikapita
Kwa lugha rahisi vilabu ndio vimetunga kanuniWajumbe wa bodi ya ligi ni wenyeviti wa vilabu.
YesKwa lugha rahisi vilabu ndio vimetunga kanuni
Hiyo TFF ni swala pa muda tu kabla haijajugeuza dini ili ikusanye sadakaMchezaji yeyote wa Kigeni anayesajiliwa katika Ligi Kuu atalipiwa ada maalum ya Sh. 8,000,000 (milioni nane) kwa msimu ili usajili wake uweze kuthibitishwa na kuruhusiwa kucheza.
Kwa wacheaji 12 ni Sawa na 96M,
ni pungufu kidogo na pesa anayopata mshindi wa Ligi ya NBC..
CHAMBUAView attachment 3064478
Hili suala Lita discourage Sana timu ndogo kuweza kuhimili ushindani wa ligi ya ndani hata Yale mashindano ya kimataifa, unless tuamue kubakia na Simb, Yanga na Azam miaka nenda rudiThats the plan, hiyo pesa ni ndogo sana kwa wawekezaji kwenye team
Down side but advantages ni kubwa zaidiHili suala Lita discourage Sana timu ndogo kuweza kuhimili ushindani wa ligi ya ndani hata Yale mashindano ya kimataifa, unless tuamue kubakia na Simb, Yanga na Azam miaka nenda rudi
watu wamekuja kusaka mihela hapa sio kushangaa maghorofakumbe ilikuwa ni mtego kuruhusu wachezaji wa kigeni 12 kwa timu moja