Kanuni Mpya Ligi Kuu Timu ikisajili mchezaji wa Kigeni atalipiwa ada ya Milioni Nane TFF

Kanuni Mpya Ligi Kuu Timu ikisajili mchezaji wa Kigeni atalipiwa ada ya Milioni Nane TFF

Mchezaji yeyote wa Kigeni anayesajiliwa katika Ligi Kuu atalipiwa ada maalum ya Sh. 8,000,000 (milioni nane) kwa msimu ili usajili wake uweze kuthibitishwa na kuruhusiwa kucheza.

Kwa wacheaji 12 ni Sawa na 96M,

ni pungufu kidogo na pesa anayopata mshindi wa Ligi ya NBC.

CHAMBUA
Kwanini waandishi wa Habari wanashindwa kuhoji matumizi ya hizi pesa!
Nimepiga hesabu ndogo tu kwa wachezaji 12 kila timu timu, 16 ×8000000 bodi ya ligi inaingiza 1.5+bilioni msimu 1 tu! hii pesa unawezajenga football academy ya viwango yan! Bado fines hapo!
 
Hizi gharama Kwa timu ndogo inakuaje??? Hasa zile zilizokua tayari zimeshasajili bila kujua kua kutakua na mabadiliko
 
Mchezaji yeyote wa Kigeni anayesajiliwa katika Ligi Kuu atalipiwa ada maalum ya Sh. 8,000,000 (milioni nane) kwa msimu ili usajili wake uweze kuthibitishwa na kuruhusiwa kucheza.

Kwa wacheaji 12 ni Sawa na 96M,

ni pungufu kidogo na pesa anayopata mshindi wa Ligi ya NBC.

CHAMBUA
Hivi huwa timu husika zinashirikishwa? Kama ndiyo wajinga sana hao wenye timu.
 
TFF hizo pesa wanapeleka wapii ?? Timu zisikubali upuuzi huu..
Kama zote zinakwenda serikalini sawa lakini kama ni mifuko ya TFF hapana !!
Zikienda serikalini nako zitaliwa kama kawaida. Bora zibaki TFF kuendeleza football
 
Kumekuwa na ulimbukeni wa kusajili wachezaji wa kigeni. Wachezaji wenyewe wa kawaida tu. Timu kama Tabora utd, Namungo, Kagera sugar etc
 
Tiefuefu ya Karai inaumizwa sana na wachezaji wa kigeni wa Yanga wanakiwasha mbaya kabisa na kuzoa tuzo zote mbumbumbu FC imefurukuta miaka mitatu bila bila!! Imeishia matamasha ya kutaja wanaukoo tu!!

Hii ni mbinu ya kudhoofisha Yanga na haitafanikiwa bali itaumiza tu vilabu vidogo!!

Hizo pesa ni nyingi sana kwanini wasitafute mbinu zingine kuongeza mapato?

Uchaguzi wa TFF lini?
 
where is tff money going. ni miaka sasa we are asking where the money is going??
 
Tiefuefu ya Karai inaumizwa sana na wachezaji wa kigeni wa Yanga wanakiwasha mbaya kabisa na kuzoa tuzo zote mbumbumbu FC imefurukuta miaka mitatu bila bila!! Imeishia matamasha ya kutaja wanaukoo tu!!

Hii ni mbinu ya kudhoofisha Yanga na haitafanikiwa bali itaumiza tu vilabu vidogo!!

Hizo pesa ni nyingi sana kwanini wasitafute mbinu zingine kuongeza mapato?

Uchaguzi wa TFF lini?
Watakaolipa ni Yanga Tu?
 
TFF wana tamaa kama tiraei tu zile za fine milioni 3 wameona ndogo wamekuja na mguu mwingine kufifisha ligi yetu tena hawa Singida au Ihefu watalipa hizo hela kweli..
 
Cost au MASHUJAA watalipa kweli!?






KAZI ni kipimo cha UTU
 
Ligi inaenda kukosa ushindani kwa Tamaa za TFF kukusanya mapato
Mchezaji yeyote wa Kigeni anayesajiliwa katika Ligi Kuu atalipiwa ada maalum ya Sh. 8,000,000 (milioni nane) kwa msimu ili usajili wake uweze kuthibitishwa na kuruhusiwa kucheza.

Kwa wacheaji 12 ni Sawa na 96M,

ni pungufu kidogo na pesa anayopata mshindi wa Ligi ya NBC.

CHAMBUA
Tff zamira yao ni kua na wachezaji wengi wa ndani pia kuwalipa wanaofanya kazi tff kwakua wao si income generation team,inawasaidia sn kuendesha ofisi,kwa upande wangu nawapa kongole kwa hili 12x8=mil 96 kwa timu 1 safi sana tff
 
Bado vibali vya Uhamiaji
Bado kuna kodi ya serikali! Hawa watakuwa wamekurupuka bila shaka. Na sidhani kama wamewashirikisha wadau (vilabu husika) juu ya haya maamuzi yao.
 
Back
Top Bottom