Kurunzi
JF-Expert Member
- Jul 31, 2009
- 9,753
- 10,747
Kwa mujibu wa Barua iliyotumwa kwa vyombo vya Habari, Kupitia kwa Bodi ya Ligi, Bodi imeboresha kanuni ya Ngao ya Jamii ambapao kwa kwa kanuni mpya kutakuwa na shindano la Ngao ya jamii ambalo litashirikisha timu 3 za juu kwenye ligi, ambapo ikiwa timu ni mshindi wa kombe la FA na ipo kwenye nafasi ya 1-3 kwenye ligi basi atachukuliwa mshindi wa 4.
Aliye elewa Kanuni ya 19:1 Ufafanuzi please naona Mapicha picha tu.
Aliye elewa Kanuni ya 19:1 Ufafanuzi please naona Mapicha picha tu.