[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] atakutesa sanaaa. PoleeeeehTFF chini ya uongozi wa Wallace Karia itaendelea kubakia kuwa taasisi ya kidwanzi mpaka siku huyu kiumbe atakapotoka madarakani!
Binafsi sijaona sababu yoyote ile ya msingi, ya kubadilisha huu utaratibu uliopo sasa.
Ananitesa na nini sasa! Ni mtazamo wako tu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] atakutesa sanaaa. Poleeeeeh
Usinene ukamala. Habari za dunia hii unazijua? Kwamba hata habari za moira za Afghanistan unazijua?Siku tukiacha siasa kwenye soka hii nchi tutapiga hatua sana kisoka..hii kitu haijawahi kutokea hata Afghanistan aise ndio mara ya kwanza hapa sasa haitaitwa ngao ya jamii watafute jina lingine tu....zamani kulikuwa na mashindano ya ligi ndogo wangeyarudisha yale kwa mfumo huu
Ila sio ngao ya jamiiWanataka kufanya kama spain ila wao spain inakua hivi
Mshindi wa ligi anacheza na mshindi pili wa fainali kwenye kombe
Mshindi wa pili ligi anacheza na mshindi wa kwanza fainali kwenye kombe
Then ndio kunakuwa na fainali.
Ya kwetu imekua tofauti kidogo. Nafikiri tff wameona timu za top 3 au top zitatoa wachezaji wazuri so mechi zitavuta mashabiki na mapato
Kwani timu zikiwa nne mtashindwa nn kuchukuaWameona Yanga anaenda kuchukua ngao ya jamii kwa mara ya tatu mfululizo, wameanza ngojera zingine! TFF poleni kwa timu kufungwafungwa na Dar Young African.