ISIS
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 96,073
- 858,551
Kinapatikana wapi hiki kitabu
Ips building
Ben and co next to HS harmony I guess
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kinapatikana wapi hiki kitabu
Ips building
Ben and co next to HS harmony I guess
Thanks bro......ntakupa mrejesho......sio vibaya kuwa nacho na kuhifadhi kwenye home library zetu.......hope full tutapata na za Rombo, Uru, Machame, Old Moshi, Kibosho etc.Ips building
Ben and co next to HS harmony I guess
Anaposemea majina ya kichaga harafu anatumia majina aliyokataza( kizungu)....This is much of a contradiction.
Huyu mwandish anaongelea jamii iliyokufa. Wachaga wamejioza na kuolewa nje ya uchaga. Maisha yao yako nje ya chagga land.kilichobakia ni makaburi na kwenda kuzika.
Mwisho anajaribu kulazimisha uwepo wa kabila na nguvu ya kabila lakini ameshindwa kuona watu na jamii iko kwenye lugha ya UTAIFA na si ukabila.
Asili ya mchagga nafikiri imetofautiana kati ya koo na koo na meaneo na maeneo , mfano wasiha ,wasanya , wamachame wengi ni weusi inasemekana asili Yao ni ukamba,usomali,usudani. Wamarangu,wakibosho,warombo wengi ni weupe asili Yao ni watu wa Kongo. Babu yangu alikuwa anafanana kwa asilimia 100 na watu wa Sudan kwa Kila kitu
IndeedThanks bro......ntakupa mrejesho......sio vibaya kuwa nacho na kuhifadhi kwenye home library zetu.......hope full tutapata na za Rombo, Uru, Machame, Old Moshi, Kibosho etc.
Nimekupata nitafanyia kazi. 5% ya Arabia nafikiri inatokana na Ham ambaye alikuwa Mzazi wetu watu weusi baadhi ya vizazi vyake vilikaa Arabia. Unatoka maeneo gani moshi?Duh,
Sawa nimekuelewa....ila indicator nzuri ni DNA testing..
Ushafanya testing tayari?
Nunua testing kit online ,spit kwenye ile kit,weka kwenye kibox chao,then post the item back to them..
In 3 to 4 weeks majibu yatakua tayari....utaona percentage zako zote kwenye majibu kwenye website yao baada ya kuingiza kit ID.
Hii sijui Wayao,Kongo,sijui nini,ni ubunifu wa kipumbavu...
Mimi nimepima,nishajua my clan comes from Kenya more than 80%,sitataja kabila gani..Nina very small masai%,Hunters and Gatherers %,Nigerian karibu robo nzima (which says that we are bantu),na funny kabisa ni 5% Arabian...
Hii mambo ya kutaja makabila kienyeji enyeji is very stupid and kupoteza muda,70USD you can solve this quietly quick!
Nimekupata nitafanyia kazi. 5% ya Arabia nafikiri inatokana na Ham ambaye alikuwa Mzazi wetu watu weusi baadhi ya vizazi vyake vilikaa Arabia. Unatoka maeneo gani moshi?
Shimbonyi shafooNatoka Kilema mshua...Ila maza Old Moshi..
Ila skani kamili kabisa ni Kilema
Mbora!Aika papa msongoru Ruwa nakusonguye
Uko Dar?NATAMANI KUPATA HICHO KITABU CHA ASILI YANGU.... NAKIPATAJE!??!
Nipo Moshi mkuuUko Dar?
DuhNipo Moshi mkuu
Moshi mjin wap specifically!??Duh
Mimi niko Dar
Anyway lakini ukikiulizia pale Moshi mjini utakipata
I have no clue, jaribu kwenye bookshop yoyote I guess, maana Dar viko vingi kiasi ambacho vinapewa bure walahiMoshi mjin wap specifically!??