Kanuni na historia za maisha ya Mchagga hapa duniani na ahera

Kanuni na historia za maisha ya Mchagga hapa duniani na ahera

30BA903C-125C-445D-870E-F958B50291D7.jpeg
CA190B06-7BD6-481E-9A66-E15A2363E64E.jpeg
 
Ips building
Ben and co next to HS harmony I guess
Thanks bro......ntakupa mrejesho......sio vibaya kuwa nacho na kuhifadhi kwenye home library zetu.......hope full tutapata na za Rombo, Uru, Machame, Old Moshi, Kibosho etc.
 
Anaposemea majina ya kichaga harafu anatumia majina aliyokataza( kizungu)....This is much of a contradiction.

Huyu mwandish anaongelea jamii iliyokufa. Wachaga wamejioza na kuolewa nje ya uchaga. Maisha yao yako nje ya chagga land.kilichobakia ni makaburi na kwenda kuzika.

Mwisho anajaribu kulazimisha uwepo wa kabila na nguvu ya kabila lakini ameshindwa kuona watu na jamii iko kwenye lugha ya UTAIFA na si ukabila.

Kuhusu jina nimekuelewa,una hoja..

Ila yaelekea una chuki kubwa sana na Wachagga...

Makabila yote yapo compromised,lako pia limo....ni tatizo la wote..

Sasa sijui hiyo jeuri ya kusimanga wenzio umeitoa wapi?
 
Asili ya mchagga nafikiri imetofautiana kati ya koo na koo na meaneo na maeneo , mfano wasiha ,wasanya , wamachame wengi ni weusi inasemekana asili Yao ni ukamba,usomali,usudani. Wamarangu,wakibosho,warombo wengi ni weupe asili Yao ni watu wa Kongo. Babu yangu alikuwa anafanana kwa asilimia 100 na watu wa Sudan kwa Kila kitu

Duh,

Sawa nimekuelewa....ila indicator nzuri ni DNA testing..

Ushafanya testing tayari?

Nunua testing kit online ,spit kwenye ile kit,weka kwenye kibox chao,then post the item back to them..

In 3 to 4 weeks majibu yatakua tayari....utaona percentage zako zote kwenye majibu kwenye website yao baada ya kuingiza kit ID.

Hii sijui Wayao,Kongo,sijui nini,ni ubunifu wa kipumbavu...

Mimi nimepima,nishajua my clan comes from Kenya more than 80%,sitataja kabila gani..Nina very small masai%,Hunters and Gatherers %,Nigerian karibu robo nzima (which says that we are bantus originating from Cameroon/Nigeria),na funny kabisa ni 5% Arabian...

Hii mambo ya kutaja makabila kienyeji enyeji is very stupid and kupoteza muda,70USD you can solve this quietly quick!
 
Thanks bro......ntakupa mrejesho......sio vibaya kuwa nacho na kuhifadhi kwenye home library zetu.......hope full tutapata na za Rombo, Uru, Machame, Old Moshi, Kibosho etc.
Indeed
 
Mtoa mada big up kwa historia hiyo, tumezaliwa tunakua na tutazeeka kwa bahati mbaya hatukupata historia nzuri za makabila yetu tungali wadogo zaidi ya stori za vijiweni, kuna siku mtu alikua ananiuliza mambo mengi ya kabila langu hata siyajui vizuri sasa yeye anafikiri unakwepa kabila lako kumbe ulivyokua hata hujavikuta. Ni muhimu sana historia kama hizi kutunzwa.
 
In less than 10 years to come, half of tribes in TZ will disappear!

Usiniulize kwanini!

Kiswahili chenyewe kiko ICU!

Kila mtoto sasa hivi less than 5 yrs wote wanazungumza Kiingereza kama primary language in TZ!
 
Duh,

Sawa nimekuelewa....ila indicator nzuri ni DNA testing..

Ushafanya testing tayari?

Nunua testing kit online ,spit kwenye ile kit,weka kwenye kibox chao,then post the item back to them..

In 3 to 4 weeks majibu yatakua tayari....utaona percentage zako zote kwenye majibu kwenye website yao baada ya kuingiza kit ID.

Hii sijui Wayao,Kongo,sijui nini,ni ubunifu wa kipumbavu...

Mimi nimepima,nishajua my clan comes from Kenya more than 80%,sitataja kabila gani..Nina very small masai%,Hunters and Gatherers %,Nigerian karibu robo nzima (which says that we are bantu),na funny kabisa ni 5% Arabian...

Hii mambo ya kutaja makabila kienyeji enyeji is very stupid and kupoteza muda,70USD you can solve this quietly quick!
Nimekupata nitafanyia kazi. 5% ya Arabia nafikiri inatokana na Ham ambaye alikuwa Mzazi wetu watu weusi baadhi ya vizazi vyake vilikaa Arabia. Unatoka maeneo gani moshi?
 
Nimekupata nitafanyia kazi. 5% ya Arabia nafikiri inatokana na Ham ambaye alikuwa Mzazi wetu watu weusi baadhi ya vizazi vyake vilikaa Arabia. Unatoka maeneo gani moshi?

Natoka Kilema mshua...Ila maza Old Moshi..

Ila skani kamili kabisa ni Kilema
 
NATAMANI KUPATA HICHO KITABU CHA ASILI YANGU.... NAKIPATAJE!??!
 
Back
Top Bottom