Kanuni na historia za maisha ya Mchagga hapa duniani na ahera

Kanuni na historia za maisha ya Mchagga hapa duniani na ahera

Asili ya mchagga nafikiri imetofautiana kati ya koo na koo na meaneo na maeneo , mfano wasiha ,wasanya , wamachame wengi ni weusi inasemekana asili Yao ni ukamba,usomali,usudani. Wamarangu,wakibosho,warombo wengi ni weupe asili Yao ni watu wa Kongo. Babu yangu alikuwa anafanana kwa asilimia 100 na watu wa Sudan kwa Kila kitu
Somi mmbe kuke mmashami wakwi ro lawe
 
I have no clue, jaribu kwenye bookshop yoyote I guess, maana Dar viko vingi kiasi ambacho vinapewa bure walahi
Nitafutie kinacho eleza historia ya Uru
Ingawa Baba yake babu alihamia huko kutoka umasaini
 
In less than 10 years to come, half of tribes in TZ will disappear!

Usiniulize kwanini!

Kiswahili chenyewe kiko ICU!

Kila mtoto sasa hivi less than 5 yrs wote wanazungumza Kiingereza kama primary language in TZ!
Sidhani. 10 years itakuwa bado sana yaani. Labda makabila yatapotea mjini. Ila vijijin bado.sana mkuu. Haswa kwa hapa tz bado
 
Back
Top Bottom