Somi mmbe kuke mmashami wakwi ro laweAsili ya mchagga nafikiri imetofautiana kati ya koo na koo na meaneo na maeneo , mfano wasiha ,wasanya , wamachame wengi ni weusi inasemekana asili Yao ni ukamba,usomali,usudani. Wamarangu,wakibosho,warombo wengi ni weupe asili Yao ni watu wa Kongo. Babu yangu alikuwa anafanana kwa asilimia 100 na watu wa Sudan kwa Kila kitu
Nitafutie kinacho eleza historia ya UruI have no clue, jaribu kwenye bookshop yoyote I guess, maana Dar viko vingi kiasi ambacho vinapewa bure walahi
OkNitafutie kinacho eleza historia ya Uru
Ingawa Baba yake babu alihamia huko kutoka umasaini
Eka Mae kanyi
Shiukye mashami girl school , nkwi kuukye yeweSomi mmbe kuke mmashami wakwi ro lawe
Nawe in mchagga?Duh
Mimi niko Dar
Anyway lakini ukikiulizia pale Moshi mjini utakipata
Yup wa Dar es Salam walahiNawe in mchagga?
Eka Mae kanyi
Karibu mbe kanyi oko walahi
Kumbe na wewe ni mchaga???Karibu mbe kanyi oko walahi
Aisee wa dar !!!?Karibu mbe kanyi oko walahi
Wa DAR walahiAisee wa dar !!!?
Kumbe na wewe ni mchaga???
Yup ndugu yangu na wewe je?
Kama kawa kama dawaYup ndugu yangu na wewe je?
Musa akaacha chakula cha farao kwenda kuishi na nduguzeWa DAR walahi
I love my Dar es Salam walahi
Sidhani. 10 years itakuwa bado sana yaani. Labda makabila yatapotea mjini. Ila vijijin bado.sana mkuu. Haswa kwa hapa tz badoIn less than 10 years to come, half of tribes in TZ will disappear!
Usiniulize kwanini!
Kiswahili chenyewe kiko ICU!
Kila mtoto sasa hivi less than 5 yrs wote wanazungumza Kiingereza kama primary language in TZ!
In less than 10 years to come, half of tribes in TZ will disappear!
Usiniulize kwanini!
Kiswahili chenyewe kiko ICU!
Kila mtoto sasa hivi less than 5 yrs wote wanazungumza Kiingereza kama primary language in TZ!
Aika mbe kanyi oko walahiKama kawa kama dawa