Kanuni ya 10%: Jitahidi uishi

Kanuni ya 10%: Jitahidi uishi

Ukitaka utoboe haraka na kupata utajiri wa Kutoka Mbinguni,

Ukitaka Mungu akupe Mali za gizani zilizofichwa, ukitaka madirisha ya Mbinguni yakufungukie baraka,

Kwanza acha dhambi na UOVU, okoka,

Kisha Badili formula, ZAKA toa 60% na 40% ndo iwe matumizi Yako,

Fanya ndani ya mwaka utanambia results!!
Mhhhh 60% Mzee Baba.
 
Hivi wanawake starehe yetu nn hasa au mm ndo mbahili😀😀au ndo Sina Hela
Lamomy hebu njoo 😀
Mimi starehe yangu nimpe Bi Mkubwa pesa, Yani nikipataga hela kabla sijatumia hata senti nimpe mama Kwanza, halafu inafuatia kula vizuri🤣, Yani mipilau, mibiriani, samaki wa kupaka🤣🤣🤣 Yani nileee🤣
 
Mimi starehe yangu nimpe Bi Mkubwa pesa, Yani nikipataga hela kabla sijatumia hata senti nimpe mama Kwanza, halafu inafuatia kula vizuri🤣, Yani mipilau, mibiriani, samaki wa kupaka🤣🤣🤣 Yani nileee🤣
Hapo sawa kma starehe ya kula hata mm Nimo lakini nipike mwenyew sipend kutoka nipike mwenyew nyumban nawaita watoto wa jirani wale hapo Huwa naenjoy sana
 
Back
Top Bottom