Gentlemen_
JF-Expert Member
- Nov 24, 2019
- 4,431
- 13,876
- Thread starter
-
- #41
Mhhhh 60% Mzee Baba.Ukitaka utoboe haraka na kupata utajiri wa Kutoka Mbinguni,
Ukitaka Mungu akupe Mali za gizani zilizofichwa, ukitaka madirisha ya Mbinguni yakufungukie baraka,
Kwanza acha dhambi na UOVU, okoka,
Kisha Badili formula, ZAKA toa 60% na 40% ndo iwe matumizi Yako,
Fanya ndani ya mwaka utanambia results!!
Hamna kwanza alishasahau nikamkumbusha baada ya miez 4 alicheka tu akanisamehe anajua wanawake hatunag Hela 😂😂😂Kuna makubaliano mliingia si bure.. ni kawaida yetu Wanaume...
Mimi starehe yangu nimpe Bi Mkubwa pesa, Yani nikipataga hela kabla sijatumia hata senti nimpe mama Kwanza, halafu inafuatia kula vizuri🤣, Yani mipilau, mibiriani, samaki wa kupaka🤣🤣🤣 Yani nileee🤣Hivi wanawake starehe yetu nn hasa au mm ndo mbahili😀😀au ndo Sina Hela
Lamomy hebu njoo 😀
Ni sahihiSahihi saana ni ipi?
Starehe yetu kula, kunywa, kuvaa na kupata kikunio boraa 🙈🙈
Sio mbaya... ni majukumu yake pia kukuhudumia au sio?Hamna kwanza alishasahau nikamkumbusha baada ya miez 4 alicheka tu akanisamehe anajua wanawake hatunag Hela 😂😂😂
Hela zetu hapana ni za kwao, yani sisi kazi yetu kutumia pesa zao na material things zao 🙈🙈Kula kunywa lakini sio Kwa elazetu na kma Kwa elazetu sikumoja tu 😀😀sema ukweli
Hapo sawa kma starehe ya kula hata mm Nimo lakini nipike mwenyew sipend kutoka nipike mwenyew nyumban nawaita watoto wa jirani wale hapo Huwa naenjoy sanaMimi starehe yangu nimpe Bi Mkubwa pesa, Yani nikipataga hela kabla sijatumia hata senti nimpe mama Kwanza, halafu inafuatia kula vizuri🤣, Yani mipilau, mibiriani, samaki wa kupaka🤣🤣🤣 Yani nileee🤣
Me nikiwa na pesa zangu nakuwa jeuri huwezi kuniweka mbuzi kagoma 🤣🤣🤣Mie mniombee basi, manake nikipata hela tu nyeghe zinakata🤣🤣🤣
Yah 😀Sio mbaya... ni majukumu yake pia kukuhudumia au sio?
😂😂😂😂Mshenz wewMe nikiwa na pesa zangu nakuwa jeuri huwezi kuniweka mbuzi kagoma 🤣🤣🤣
Hizo style za mademu wasio na pesa ebooh 😜
☺️Hapo sawa kwanza hatunaga ela sisi kilasiku😀Hela zetu hapana ni za kwao, yani sisi kazi yetu kutumia pesa zao na material things zao 🙈🙈
Nakaa style za kitajiri 🤣🤣🤣😂😂😂😂Mshenz wew
Unaniwekaje mbuzi kagoma wakati nna tulaki twangu M-pesa🤣🤣🤣Me nikiwa na pesa zangu nakuwa jeuri huwezi kuniweka mbuzi kagoma 🤣🤣🤣
Hizo style za mademu wasio na pesa ebooh 😜
Na tunazitoa wapi? Sisi tuliambiwa tupendwe na tutunzwe hivo vingine viherehere 🤣🤣🤣☺️Hapo sawa kwanza hatunaga ela sisi kilasiku😀
😂😂😂Unawaza kula tu 😀😀Mie mniombee basi, manake nikipata hela tu nyeghe zinakata🤣🤣🤣
Nakaa style za kitajiri 🤣🤣🤣
😂😂😂Sasa kumbeNa tunazitoa wapi? Sisi tuliambiwa tupendwe na tutunzwe hivo vingine viherehere 🤣🤣🤣
Yani mwanaume kama hamuudumii mwanamke wake huyo hampendiSio mbaya... ni majukumu yake pia kukuhudumia au sio?
🤣🤣🤣🤣 Tukiwa na pesa hata blow job hatufanyi, ni yeye kazi yake kunipa burudani.Unaniwekaje mbuzi kagoma wakati nna tulaki twangu M-pesa🤣🤣🤣
Ila tukiisha hata kuidondokea naidondokea🤣🤣🤣🤣