Kanuni ya 10%: Jitahidi uishi

Mhhhh 60% Mzee Baba.
 
Hivi wanawake starehe yetu nn hasa au mm ndo mbahili😀😀au ndo Sina Hela
Lamomy hebu njoo 😀
Mimi starehe yangu nimpe Bi Mkubwa pesa, Yani nikipataga hela kabla sijatumia hata senti nimpe mama Kwanza, halafu inafuatia kula vizuri🤣, Yani mipilau, mibiriani, samaki wa kupaka🤣🤣🤣 Yani nileee🤣
 
Mimi starehe yangu nimpe Bi Mkubwa pesa, Yani nikipataga hela kabla sijatumia hata senti nimpe mama Kwanza, halafu inafuatia kula vizuri🤣, Yani mipilau, mibiriani, samaki wa kupaka🤣🤣🤣 Yani nileee🤣
Hapo sawa kma starehe ya kula hata mm Nimo lakini nipike mwenyew sipend kutoka nipike mwenyew nyumban nawaita watoto wa jirani wale hapo Huwa naenjoy sana
 
Mie mniombee basi, manake nikipata hela tu nyeghe zinakata🤣🤣🤣
😂😂😂Unawaza kula tu 😀😀
Sisi tubaopenda kula hakuna tunachowazaga Dunia hii kunarafikiyng aliwah nishngaa hiv matakataka ya viung yote ya nini na upo mwenyew nikamwambia tulia hapa ni kula tu 😀
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…