Kanuni ya 10%: Jitahidi uishi

Km wanatimiza mahitaji yote wataheshimika mpk washangae!!
Pesa hunipi, show za kusuasua afu unikataze vicoba thubutuuuu!! 🤣🤣🤣
 
Kuna TANZANITE tupu kwnye huu uzi, umeniongzea ktu mkuu[emoji39][emoji39]
 
Sasa AGANO jipya si ya KITAPELI?
Kuuza MALI kwa ajili ya DINI ni sahihi kwa upande wako? Je ni lazima niuze zote? Au nigawe kwa msingi wa 10%..?
Yesu alimwambia uza vyote ulivyonavyo wagawie maskini Kisha utakuwa na hazina Mbinguni.

Hakusema auze Kisha akatoe ten parcent ya alichouza.

Ikiwa mtu anaua mtoto wake Ili awe tajiri, waamini Mungu Kutoa 50% wanaona ngumu, Umaskini utawahusu sana.
 
Nikiwa sinaela nakosa confidence ya kupokea wageni 😀😀subir subiri ila mwambie mtumishi kama utaaga kwenye ukoowenu kuwa umepata mwaliko 😂😂😂
Hela nakuja nazo.. waswas unatokea wapi Mamy..?
 
Yesu alimwambia uza vyote ulivyonavyo wagawie maskini Kisha utakuwa na hazina Mbinguni.

Hakusema auze Kisha akatoe ten parcent ya alichouza.

Ikiwa mtu anaua mtoto wake Ili awe tajiri, waamini Mungu Kutoa 50% wanaona ngumu, Umaskini utawahusu sana.
Ndio maana Wakoloni walituwezea hapo.

Wazee wa Samehe 7 mara 70. Huku anakukandika MIJELEDI.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…