Kanuni ya haki ya msingi haikufuatwa kuwafukuza uanachama Halima Mdee na wenzake 18

Jambo lenyewe lipo wazi sana, haliitaji kujitetea, na ndio maana hawakuitikia wito. Pili wanachama na wapenzi wa chadema walihitaji hatua hiyo kwa haraka sana kama vile walivyoapishwa hili wasiendelee kukidhuru chama. Hatua waliochukuwa kamati kuu ni ya kimaslahi ya chama. Bila kujali wataenda mahakamani, kuendelea kuwa wabunge, kupiganiwa na spika, kutoa kashfa wala nini, hatua ni nzuri!
 
Membe aliandikiwa barua au aliitwa kujieleza?
 
Namshangaa mtoa hoja Mdee aikuwa kiongozi mkubwa wa chama Bavicha na Mjumbe wa Kamati Kuu muda mrefu karibu miaka 7, Msomi wa sheria. Taratibu zote za chama anazijua na anazieewa vizuri sana. Anajua majina ya vitu maaum yanaanzia mchakato ndani ya wing anayoiongoza then uteuzi unakwenda kufa wenzanywa na CC .

Kwa makusudi kabisa akakaidi mchakato mzima wa chama akapeeka majina kwa kujipendea yeye, Makamu wake, Katibu Mkuu wao na manaibu wa Katibu wa Bawacha wa Bara na Visiwani na kuweza kuongeza majina ya mashoga zake. Akaitwa CC akakaidi akijua kaforge majina na kudanganya umma ana baraka za cc. Kaenda Dodoma na Covid wenzake hajawambia viongozi wenzake kuii utaendesha chama kwa uhuni namna hii. Taratibu za wapi hizo kujifanyia maamuzi mwenyewe huwambii wenzako, haafu unataka waachwe.................acha uhuni wewe.
 
COVID-19 ni genge la wanawake wahuni.
Haikuhitaji kuitwa waje kujieleza wala kamati kuu kuwaita ili kujieleza, ilitosha kwa katibu mkuu (John Mnyika) yeye mwenyewe tu kutangaza kuwafukuza mara moja.

Kitendo cha kuwaita ili waje kujieleza ilikuwa ni formality ili kukidhi masharti ya kikatiba, lakini hakikuwa na maana yoyote.
 
Kwani taifa bado linazingatia mambo hayo,hata unadai haki za msingi leo.
 
Wewe ni Lumumba fc, wachukueni mkawaoe.
Hilo ndo jibu sahihi kwani Lumumba wanajaribu kila njia ya kijinga kujustify ujinga wa wajinga waliosababisha figisu zote kuhusu suala hili hadi kuapishwa kwenye gereji bila Siwa badala ya Bungeni. Kikao kilichowafukuza kiliitishwa kwa ajiri yao wahudhurie wajieleze lakini walikataa kutii wito na kutotoa udhuru ili wapangiwe siku nyingine na bado wamepewa nafasi ya kuomba msamaha au kukata rufaa dhidi ya uamuzi. Kuolewa hata na CCM si lazima wawe Wabunge!
 
Kwani lazima wawemo? Wakasuke ukili huko! Wanawake wako wangapi wanaostahili?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…