Kanuni ya kukokotoa utajiri unaotakiwa kuwa nao kulingana na umri wako

Asee kusema ukweli sijakuelewa mkuu
 
Kamshauri Lucas mashambwa
 
Kwanza kwanini amegawanya kwa kumi ??kumi inawakilisha nini???atupe validation ya hiyo formulae

Motivesheno spika miyayusho sana.
Mungu akusamehe kwa kua hujui ulisemalo,wala unaloandika naona kabisa umekurupuka mkuu,,unapitwa na mengi kwa hii dunia ya mubimu kwa huo ushabiki ambao wewe ndo hujui upo wapi.
 
Kwanini wewe usiweke hapo kama mfano wa utajiri wako?

Pia hii inaongelea utajiri wa upande mmoja, kipato.

Kuna mambo mengine kama afya, utulivu wa akili, mahusiano n.k yanathamani kubwa pia.
Utajiri ni pesa mkuu,
Hayo mengine ni punyeto ya akili (mental masturbation), utajisikia vizuri ukiwa na mahusiano mazuri, lakini huwezi kwenda kununua nayo kitu dukani.
Hivyo basi, PATA PESA.
 
Huyu hata somo la hesabu alikula mshale ila leo amgenduq kanuni ya kujua utajiri mama.e
Mkuu, tuishie kubishana kwenye haya mambo ambayo mtu unaweza kuchagua upande unaptaka mwenyewe.
Lakini tukija kwenye masomo ya darasani, utajiabisha sana mkuu.
Nina ufaulu mkubwa sana wa masomo yote ambayo nimewahi kufanya tangu shule ya msingi mpaka chuo kikuu.
Hivyo njoo na hoja za saizi yako, hizo nyingine zitakutoa pumu bure.
Karibu.
 
Mwandishi wa kitabu Thomas J. Stanley yeye aliwaza vipi kutumia 10 na si 15, 20, 30, n.k.
Je, hiyo formula ni universal?

"Maisha hayana formula". "Utajili ni kitu uncertain"
Mkuu, kwa nini mwaka una miezi 12 na mwezi siku 30?
Maana unakomaa na kitu ambacho ni constant badala ya kuangalia picha kubwa.

BTW; "Maisha YANA formula". "Utajili ni kitu CHA UHAKIKA kabisa ukifuata kanuni sahihi."
 
Utajiri ni pesa mkuu,
Hayo mengine ni punyeto ya akili (mental masturbation), utajisikia vizuri ukiwa na mahusiano mazuri, lakini huwezi kwenda kununua nayo kitu dukani.
Hivyo basi, PATA PESA.

Unaelewa nilichokiandika? Hapo ungesema unalenga utajiri wa pesa. Napo Kuna watu wansupata Kwa kuiba, kudhulumu, kutapeli, kufanya kazi halali n.k

Upande wangu Bora niwe na pesa kiasi lakini nna mahusiano mazuri na watu.

Niambie hiyo kanuni ya utajiri wa pesa unayoihubiri isiyozingatia mambo mengine.
 
Mkuu, kwa nini mwaka una miezi 12 na mwezi siku 30?
Maana unakomaa na kitu ambacho ni constant badala ya kuangalia picha kubwa.

BTW; "Maisha YANA formula". "Utajili ni kitu CHA UHAKIKA kabisa ukifuata kanuni sahihi."
We hueleweki
 
Utajiri ni pesa mkuu,
Kwa sababu hizo ndizo tunazotumia kupata mengine kwenye maisha.
Maana hata mahusiano, yanakuwa magumu sana pale kunapokuwa na umasikini uliopindukia.
Na hilo unalosema bora uwe na pesa kiasi, NDIYO UTAJIRI WENYEWE.
Kila la kheri.
 

Nani kakwambia utajiri ni pesa? Sema unaongelea utajiri wa pesa. Utajiri ni kuwa na wingi wa vitu.

Ndio maana mtu akiwa na mifugo mingi utaambiwa huyo ni Tajiri.

Kutafuta pesa ni majumuisho wa mambo mengi sana. Hiyo kanuni umeiweka hapo ni ya kupima matokeo ya migangaiko ya kuitafuta pesa.

Ukiwa na tabia za kitajiri (utajiri wa pesa) na kuelewa kanuni zake, hauhitaji hii formula umeiweka hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…