Kanuni ya "tafuta hela" kwa wanaume hailipi katika mapenzi. Tazama hapa

Kanuni ya "tafuta hela" kwa wanaume hailipi katika mapenzi. Tazama hapa

Dear Cocastic

Salamu sana. Baada ya salamu ningependa kujua kama wewe mzima. Mimi huku naendelea vizuri.

Dhumuni la ujumbe ni kutaka kukujulisha kuwa nimetengua uamuzi wangu wa kutokukutongoza kwa kuhofia una mtu. Nitakupigia simu nikujulishe wapi tukutane ili uje ni-activate sounds zangu. Andaa points za kunikataa.

Ni yuleyule akupendae
MATONGEE
Dear Matongee ,

Sizitaki hata salaam zako. Kwanza unikome kama ulivyokoma kunyonya ziwa la mama yako.

Dhumuni la barua hii ni kukujulisha kuwa, kwanza sikupendi, sikutaki na hivyo usijisumbue hata kunitafuta. Mimi siyo saizi yako. Nikupeleke wapi wewe Matongee mwenye sura kama kinyago cha mpapure?

Tafadhali tusisomane.

Ni mimi G4N, kwa niaba ya cocastic .


My take: Hivi miaka hii kuna wadada wenye majibu kama haya?
 
Dear Cocastic

Salamu sana. Baada ya salamu ningependa kujua kama wewe mzima. Mimi huku naendelea vizuri.

Dhumuni la ujumbe ni kutaka kukujulisha kuwa nimetengua uamuzi wangu wa kutokukutongoza kwa kuhofia una mtu. Nitakupigia simu nikujulishe wapi tukutane ili uje ni-activate sounds zangu. Andaa points za kunikataa.

Ni yuleyule akupendae
MATONGEE
Kwani cocastic ni mwanamke??[emoji1]

Nachojua hili ni dume lakini gasho.
 
Dear Matongee ,

Sizitaki hata salaam zako. Kwanza unikome kama ulivyokoma kunyonya ziwa la mama yako.

Dhumuni la barua hii ni kukujulisha kuwa, kwanza sikupendi, sikutaki na hivyo usijisumbue hata kunitafuta. Mimi siyo saizi yako. Nikupeleke wapi wewe Matongee mwenye sura kama kinyago cha mpapure?

Tafadhali tusisomane.

Ni mimi G4N, kwa niaba ya cocastic .


My take: Hivi miaka hii kuna wadada wenye majibu kama haya?
😄😄 akigundua umekata ringi anakupa majibu mabaya zaidi ya hayo
 
Huyu baba style ya kusex ni kulala chalii afu mamsapu ajipimie.
Na akikaa vibaya anakalia hilo puto, mwisho lipasuke "pwaaaa"

Sasa si case ya mauaji hii, abaki hivyo hivyo single. [emoji23][emoji23][emoji23]
Ila wewe hufanani na ulichocoment
 
Back
Top Bottom