Kanuni za soka ambazo huzijui!

Ujinga tu saa zingine ni kujishushia heshima mtu gani hawezi jadili kitu bila hisia za ushabiki, utazani hizo kanuni zilitungwa ka ajili ya Simba na Yanga
Mimi nimeandika kitu ambacho ni cha kweli ulipaswa kunipinga kwa hoja lakini ukani attack kwa kuniita mpumbavu

Huyo uliye mquote kanitukana lakini kwasababu yuko katika upande wako hujaona kama ni tatizo umechuna halafu unakuja kusema najishushia heshima

Hivi wewe na huyo ambao mninitupia matusi hamjaona heshima yenu mlioishusha?

Acha unafki be real
 
Kuna watu ni matahira when comes to Yanga and simba
Wewe ndio tahira na sio mara ya kwanza unanitukana

Mi nishakuchulia kama loser ambaye huwezi ku control emotions zako pale unapo face negative thoughts

Una lugha chafu and yet una-pretend kuonekana muungwana kwa wadau ambao mna mtazamo sawa
 
Wewe ndio tahira na sio mara ya kwanza unanitukana

Mi nishakuchulia kama loser ambaye huwezi ku control emotions zako pale unapo face negative thoughts

Una lugha chafu and yet una-pretend kuonekana muungwana kwa wadau ambao mna mtazamo sawa
Mkuu Scars hivi siwez kupata kitabu kinachofundisha mziki wa hip hop?
 
Hii nilikuwa siijui mpaka leo.
 
Wewe ndio tahira na sio mara ya kwanza unanitukana

Mi nishakuchulia kama loser ambaye huwezi ku control emotions zako pale unapo face negative thoughts

Una lugha chafu and yet una-pretend kuonekana muungwana kwa wadau ambao mna mtazamo sawa
Nisamehe kiongozi tusifike huko!!
 
Hoja ipi uzi upo clear hauja taja habari za ushabiki umeingiza vitu ambavyo ni irrelevant kabisa
 
Tatizo lako huwa huwezi kutoutisha mada nikikuita mpumbavu sidhani kama nimekukosea heshima
Mjibu kwa kwa hoja siyo kuitana wapumbavu wakati hata wewe hujaleta hoja yoyote juu ya mabano yake. Sasa hapo tutajua mpumbavu niyupi Kati yenu?

Nimesoma comments zote toka juu hakuna palipochafuka isopokuwa kuanzia kwako. Mjibu kwa hoja zinazofanana na maneno yake.

Ushauri tu lakini.
 
Kuna watu ni matahira when comes to Yanga and simba
Especially you and your colleague.
Semeni basi yanayofanana na asemayo. Najua mtadhani natetea lakini mkitafakari kwa hekima bila jazba na kutupilia mbali Uyanga na Usimba mtauona ukweli ninaoulenga.
 
Umekuja na ID ya pili kuendeleza ligi hoja ipi unayo ongelea?
 
Mkiwa kwenye nusu yenu,hakuna offside hata ukipokea mpira mbele ya beki wa mwisho.
Mf wapinzani wako kwenye,wanapiga kona kule kwao kabaki kipa tu ila mabeki wote wapo kuja kufungwa kona. Namba this wenu yupo karibu na kati Kati ya uwanja ila hajavuka yupo kwenye nusu yenu. Mkipangua kona mkampasia ,hayuko offside
 
Ni kweli kabisa, ndiyo maana timu ikiwa inashambulia huwa Kuna defenders wawili mpaka 3 hubaki, kwa kulijua hilo
 
Hivi kwa mfano Mimi ni mchezaji na nipo uwanjani tunaendelea na mchezo kisha mchezaji mwingine wa timu yangu akafanya uzembe tukafungwa goli, kwa hasira nikafata na kumuwasha makofi naweza kupata kadi! ukizingatia kwamba nimemuwamba makofi mchezaji wa timu yangu?
Kingine ni kwamba, kwa mfano timu imefungwa mabao 6 kipindi cha kwanza sasa kipindi cha pili wakiamua wasiingie uwanjani kwamba wameshakubali kufungwa kuna kosa hapo au wanaruhusiwa?
 
Violence kwenye football hairuhusiwi hata kama ni mchezaji mwenzako, hivyo ni kosa. Sheria za mpira ni dakika 90, mechi inaweza kusitishwa kabla ya dakika 90 kama litatokea tukio lisilo la kimichezo, au sababu nyingine zilizo nje ya uwanja. Hivyo hata mkifungwa 10 mechi lazima ichezwe dakika zote.
 
Umejibu vyema
 
6. Inakuwa kona

Sent from my TECNO B1g using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…