Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Mimi nimeandika kitu ambacho ni cha kweli ulipaswa kunipinga kwa hoja lakini ukani attack kwa kuniita mpumbavuUjinga tu saa zingine ni kujishushia heshima mtu gani hawezi jadili kitu bila hisia za ushabiki, utazani hizo kanuni zilitungwa ka ajili ya Simba na Yanga
Huyo uliye mquote kanitukana lakini kwasababu yuko katika upande wako hujaona kama ni tatizo umechuna halafu unakuja kusema najishushia heshima
Hivi wewe na huyo ambao mninitupia matusi hamjaona heshima yenu mlioishusha?
Acha unafki be real