Mongoiwe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 524
- 269
jambo la msingi ni kusoma na kuyaelewa vyema mawazo ya Dr.
kiukweli tunahitaji kuwa na mawazo na hoja mbadala katika hili
ni rahisi san ku-challenge pasipo evidence, ndio maana Dr katoa quotes kadhaa kwa ajili reference
Na makusudio yake ni kuomba mawazo ya wadau JF. nami kwa kutambua hilo nadhani nianze na mawazo yangu. Sitofautiana sana na wale walioshauri kujaribu njia ya kukimbilia mahakamani kwa sababu najua serikali hii iliyojaa 'Wachibya matwi' (watu walioziba masikio) tunaweza kupiga kelele wasitusikie na uchaguzi huo umefika.
Dr. Slaa anza na hilo inagwa kama aliyeusaini tena kwa mbwembwe aliulilia mapema na ndiye aliyeteua majaji tena wengi katika mahakama zetu, napungukiwa imani iwapo watakuwa tayari kumwangusha aliyewateua wakasimamia HAKI na KATIBA kuzuia uozo huyo.