Elections 2010 Kanuni za Uchaguzi 2010 na mgogoro wa Sheria ya Gharama

Elections 2010 Kanuni za Uchaguzi 2010 na mgogoro wa Sheria ya Gharama

Status
Not open for further replies.
Dr. Slaa please kama unauhakika na hilo, nenda mahakamani...

TZPride,

... sasa ndio naelewa jinsi watanzania wengi wanavyokuwa hawaelewi issues. 1) Swala siyo kwenda mahakamani, kwa sababu hata ukienda mahakamani...

Mheshimiwa Dr. Slaa, wewe ni kiongozi, Mbunge wetu, huwezi kututamkia "Watanzania hawaelewi issues"!

Kisiasa inaonyesha hujali hata kutuonyesha unanyenyekea kwa tuliokupa taadhima ya kutuongoza, na ulivyo mwepesi kutumia lugha za kujumuisha watu jumla jumla na kuwashusha. Tafadhali Mheshimiwa.

Baadhi ya Wananchi tunadai kutodharauliwa na Waheshimiwa.
 
Mheshimiwa Dr. Slaa, wewe ni kiongozi, Mbunge wetu, huwezi kututamkia "Watanzania hawaelewi issues"!

Kisiasa inaonyesha hujali hata kutuonyesha unanyenyekea kwa tuliokupa taadhima ya kutuongoza, na ulivyo mwepesi kutumia lugha za kujumuisha watu jumla jumla na kuwashusha. Tafadhali Mheshimiwa.

Baadhi ya Wananchi tunadai kutodharauliwa na Waheshimiwa.
Kinnega,
Asante sana. Naomba radhi kama umekuwa "offended".
i) Kwanza sikuwa na nia ya ku "Offend yeyote", nimeeleza hali halisi. Ni vema ugonjwa ukijulikana kuliko kuuficha, kwani ukijulikana utapatiwa tiba. Ndiyo maana mara nyingi nimekuwa nikichukua muda mwingi kutoa "awareness" hata kwenye Forum hii ili wote tuwe na level mmoja ya jambo linalojadiliwa. Kuwa na kiwango kimmoja ni jambo muhimu sana, kwani forum hii ni forum pia ya kuelimishana. Hatuwezi kuelimishana iwapo hatutaonyesha kuwa hatufahamu jambo fulani.
2) Watanzania wana mambo mengi sana wanaelewa. Laini nimechagua makusudi neno " issues", na nikatumia "wengi", kubaini kuwa wako wanaoelewa na wako ambao pia hawaelewi. Nimetumia hapa neno hili kwa maana ya kutenganisha "issue" hasa ni nini. Ukisoma kwa makini hata kwenye magazeti, siku ya kwanza nilipoanzisha hoja hii kwenye Semina hakuna gazeti hata mmoja lilielewa, na hata Gazeti la Tanzania Daima, likatoka na kichwa cha habari "Cheyo na Slaa wajikaanga". Kati ya hoja iliyotoka ni kuwa wahusika hao walikuwepo au kuwakilishwa kwenye hafla ya kusaini sheria hiyo. Hata Tofauti kati ya Sheria na Kanuni hakuwa ameipata vizuri. Nadhani tuzungumze "practicalities" na siyo nadharia. Tutawasaidia Watanzania tukiwa wakweli, jasiri tunapoambiwa kuwa jambo hatulielewi ili iwe rahisi kupata elimu inayohitajika, na kadhalika. I normally call a spade a spade, hivyo, nisingeliwez kutafuta neno lingine kwa kuepuka kumwudhi mtu wakati ni dhahiri ninaona kuwa jambo halijaeleweka vizuri.
3) Kwenye jamvi hili hili tumekuwa tukieleza mara kwa mara tatizo la Watanzania ni nini hasa, kwanini watu hawako tayari kubadilika. Tatizo kubwa ni uelewa wa mambo. Nimekuwa vijijini, ukimwuliza mtu kwanini umepokea "kikombe cha Chumvi ( imetokea sana Bussanda, na au kipande cha Sabuni- Biharamulo) jibu ni kuwa ...anayenipa ananipenda. Ukienda mbele zaidi kuwa je thamani yako kwa miaka mitano ni kipande cha sabuni cha shs 200? Ndiyo anaanza kushangaa. Hivyo ndugu yangu tusiogope kusema ukweli ili tuwaokoe watanzania.
4) Issue kubwa ni kwanini "hatutaki kukimbilia mahakamani" na badala yake "iletwe miscellaneous Amendment"? Wengi wametaka nichukue hatua hiyo na wengine hata kuwa tayari wanichangie fedha. Lakini tungelikuwa na level mmoja ya uelewa "tungeliweka pressure au kutafuta avenue ya kuweka Pressure ili swala lirejee haraka Bungeni. This is the Issue. Naomba radhi tena kama umeudhika na kama wako wengine wameudhika kwa kuwa mwazi na direct. Thanks.
 
Wana JF,

IKULU kwa mara nyingine tena wame mwingiza mkuu wa nchi mkenge mara ya kwanza navyokumbuka ni kuhusu kutoa gari la kubebea wagonjwa kwenda wilaya mmoja huko Mkoani Arusha na hiyo nayo ilitokea hapo hapo IKULU.

Na majuzi hapa rais kasaini mswaada uliopitishwa bungeni juu ya sheria ya uchaguzi-2010 na ulisainiwa kwa mbwembwe zote na kumbe unamapungufu yake tena jamani.

Sasa na maswali machache hapa ndani ya IKULU, watu wanawajibika kweli na kazi zao au nao wapo kujichomea kamuhogo kao?

Au kuna watu wapo pale kuhakikisha mipango ya mkuu wa nchi haiendi ipasavyo?

Je AG wa serikali, hapa anahusika moja kwa moja pia au?
 
Wana JF,

IKULU kwa mara nyingine tena wame mwingiza mkuu wa nchi mkenge mara ya kwanza navyokumbuka ni kuhusu kutoa gari la kubebea wagonjwa kwenda wilaya mmoja huko Mkoani Arusha na hiyo nayo ilitokea hapo hapo IKULU.

Na majuzi hapa rais kasaini mswaada uliopitishwa bungeni juu ya sheria ya uchaguzi-2010 na ulisainiwa kwa mbwembwe zote na kumbe unamapungufu yake tena jamani.

Sasa na maswali machache hapa ndani ya IKULU, watu wanawajibika kweli na kazi zao au nao wapo kujichomea kamuhogo kao?

Au kuna watu wapo pale kuhakikisha mipango ya mkuu wa nchi haiendi ipasavyo?

Je AG wa serikali, hapa anahusika moja kwa moja pia au?
Kwa aina ya serikali tuliyonayo yatatokea mengi zaidi ya hayo.
Sasa ndo naamini ni kwanini mtu kama Mrema aligombea urais.
 
mkuu ikulu yetu na watendaji wake wengi hawako makini na kazi zao zilizowapeleka pale wanachofanya ni hicho tu(kamuhogo)lakini pia hakuna wa kuwasahisha make wengi wao ni haohao
 
mkuu ikulu yetu na watendaji wake wengi hawako makini na kazi zao zilizowapeleka pale wanachofanya ni hicho tu(kamuhogo)lakini pia hakuna wa kuwasahisha make wengi wao ni haohao

Hakuna wa kumfunga Paka Kengele?
 
Hawa jamaa sio makini kabisa na ndio sababu mambo mengi hayaendi!
 
Wajameni mbona Health Bill ya Obama imerudi tena kupitishwa?I think they were too overzealous to pay attention to technical aspects.
 
Tanzania ni nchi nzuri sana na watu wake ni wema sana wanapenda kulipa fadhila. Technical know who imepamba moto sana. Kwa maana hiyo kuna watu wanapewa kazi lakini siyo fani zao na matokeo yake ndiyo hayo.
 
Walijua haya:
1)Kwamba muswada una mushkeli...
2)Rais hayuko makini
Kwa hiyo wakamsainisha mbele ya waandishi asije kukana saini yake baadae...HAIJAWAHI TOKEA katika nchi hii rais kusaini muswada kwa mbwembwe
 
mnawaonea...waliamini hiyo ndo sheria ilyopitishwa na bunge kumbe wajanja wamechomeka vipengele vyao....Tanzania tamu sana jamani...lol. kila kitu kinawezekana
 
mnawaonea...waliamini hiyo ndo sheria ilyopitishwa na bunge kumbe wajanja wamechomeka vipengele vyao....Tanzania tamu sana jamani...lol. kila kitu kinawezekana

Ndiyo kazi ya Wasanii, kila siku wanaigiza tu!
 
mnawaonea...waliamini hiyo ndo sheria ilyopitishwa na bunge kumbe wajanja wamechomeka vipengele vyao....Tanzania tamu sana jamani...lol. kila kitu kinawezekana

Wewe ochu acha kunywa hiyo kitu (lol)
 
Sidhani kama watendaji wa Ikulu wanapaswa kulaumiwa kwa hili.Anayepaswa kulaumiwa ni Mwanasheria mkuu pamoja na Mwandishi mkuu wa sheria wa Serikali(Chief Parliamentary Draftsman) hawa ndio wenye kuhusika na mchakato wa kutayarisha sheria pamoja na kuingiza mapendekezo yaliyotokana na majadiliano ya wabunge.
 
Sidhani kama watendaji wa Ikulu wanapaswa kulaumiwa kwa hili.Anayepaswa kulaumiwa ni Mwanasheria mkuu pamoja na Mwandishi mkuu wa sheria wa Serikali(Chief Parliamentary Draftsman) hawa ndio wenye kuhusika na mchakato wa kutayarisha sheria pamoja na kuingiza mapendekezo yaliyotokana na majadiliano ya wabunge.

Judge Werema?
 
mkuu ikulu yetu na watendaji wake wengi hawako makini na kazi zao zilizowapeleka pale wanachofanya ni hicho tu(kamuhogo)lakini pia hakuna wa kuwasahisha make wengi wao ni haohao

Hakuna wa kumfunga Paka Kengele?

Hawa jamaa sio makini kabisa na ndio sababu mambo mengi hayaendi!

Ikulu ina wenyewe na wala si Mkulu!!

Jueni kuwa wale kwa awamu hii walio katika sehemu muhimu wamepachikwa hata kama hawana sifa ili mradi ni mtoto wa rafiki, mfadhili maarufu wa kampeni, you name all!!! Hakuna cha ajira ya merits and experience, it is only technical know who, for instance January, Salva , etc. Je kama na hao more technical ni hivyo sasa unategemea nini?
 
Tatizo linalotukabili ni zaidi ya Ikulu
Mkuu,

Nakubaliana na wewe, tatizo ni zaidi ya Ikulu, tatizo liko kwenye culture ya Watanzania kutokuwa makini kwenye haya mambo madogo madogo.

Nimewahi kuona watu wa immigration wanakosea jina kwenye passport na bado wanaona ni sawa tu. Au kuna officer aliweka urefu wa mhusika ambao ulikuwa karibu nusu ya urefu wake.

Hata ukiangalia documents mbalimbali utakuta makosa mengi na ukiwaambia warekebishe wanakuambia hakuna tatizo.

Dr. Slaa amefanya la maana kuwaumbua na safari nyingine watakuwa makini. Watu hao hao ndio hata mikataba ya nchi hawaisomi inavyotakiwa na matokea yake tunafungwa magoli ya visigino.

Pia ni fundisho kwa bunge; iweje watu zaidi ya 300 washindwe kuona kosa hilo?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom