(Kanusho): Davido ajibu wanaomvotia tuzo za MAMA 2015

Status
Not open for further replies.

Am gonna voteeee until I die ooo
 

Sina huo muda mchafu wa kufungua fekero.
 
Mashabiki wa domo tulieni jamani, tokea juzi mnakurupuka tu hamjifunzi?
Stress za tuzo za KTMA zinawafanya mnaonekana mahayawani.Mlianza na acc fake ya KTMA, mkafuatia na majigambo kua domo kanunuliwa gari, leo mna acc fake ya Davido!
Chineke woooooo, hii ni zaidi ya aibu!
 

Hivi jamani nyie mnaingiaga instagram ipi?Idrissa hajawahi kumpigia kura davido na wala hamsapoti hata siku moja!katika wasanii.na celebrity wanaoongoza kupiga kura kwa diamond basi idrissa anaongoza!

Idrissa yuko tofauti na vilaza wengine pleasee mkuu usimchanganye kwenye hilo kundi
 
Tuwasamehe tu Ankal. Hawa wana stress sasa wanatafuta jambo la kuwasahaulisha ndio maana wanajikuta wanaaibika hivi.

Hao ndio wazee wa Lambojini hawamshangai boss wao kujiita Dangote.
 

Hivi KTMA 2015 ishafanyika:what:
 
Hahahhaha walahi wazalendo waneshikiwa pabaya, mara watengeneze Acc fake ya KILL, leo tena wametengeneza ya Davido hahahhaha
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…