(Kanusho): Davido ajibu wanaomvotia tuzo za MAMA 2015

(Kanusho): Davido ajibu wanaomvotia tuzo za MAMA 2015

Status
Not open for further replies.
hahahaha mama charty kumbe na wewe humo kwenye harakati hizi.

Vote vote for davido.
Africa kwanza tanzania badae.

bwahahahah.. Yeye si amezoea kutulambisha ndimu sasa ngoja tu nimpe asiye na makuu.. Uzalendo my foot my vote...my choice..nobody bznz... Miss u shardcole
 
Huu ni ushahidi wa wale wazee wa mult id hapa umejisahau ukajiquote kwa id moja murika mwizi.

Hahaha hyo ni kawaida tu am using jf app en nn kimekufanya uhisi i hv multi ID thn zinasaidia nn kwanza labda ungenifahamisha ili nicreate" mzee wa (lambojini) 😀:sly:
 
Hahahhaha walahi wazalendo waneshikiwa pabaya, mara watengeneze Acc fake ya KILL, leo tena wametengeneza ya Davido hahahhaha

Hahahahaaa mkuu hii week ni ya comedians kazini.Nacheka hadi mbavu zinaniuma...
Bibie baada ya kuiona huko instagram akaileta harakaharaka ili tuumbuke kumbe anajitia aibu.
 
bwahahahah.. Yeye si amezoea kutulambisha ndimu sasa ngoja tu nimpe asiye na makuu.. Uzalendo my foot my vote...my choice..nobody bznz... Miss u shardcole

Hahaha hatar kwakwel, mis u 2 more charty
 
Last edited by a moderator:
bwahahahah.. Yeye si amezoea kutulambisha ndimu sasa ngoja tu nimpe asiye na makuu.. Uzalendo my foot my vote...my choice..nobody bznz... Miss u shardcole

Ewaaaaa, umemaliza yote mumy...
Sijawahi kuona upuuzi kama huu wa kulazimishana kumpigia mtu kura kwa kigezo cha UZALENDO.
Mimi nilishasema sio MTANZANIA, sasa sijui wataniambia nini tena.
 
Hahahahaaa mkuu hii week ni ya comedians kazini.Nacheka hadi mbavu zinaniuma...
Bibie baada ya kuiona huko instagram akaileta harakaharaka ili tuumbuke kumbe anajitia aibu.

Hahahahaha mkuu mwaka huu wanalo hawa wazalendo na wanaojipa jina la Dangote badala ya Mengi.
 
Ewaaaaa, umemaliza yote mumy...
Sijawahi kuona upuuzi kama huu wa kulazimishana kumpigia mtu kura kwa kigezo cha UZALENDO.
Mimi nilishasema sio MTANZANIA, sasa sijui wataniambia nini tena.

Sasa cha ajabu mzee wa Lambojini anajiita Dangote kwa asiwe mzalendo kwa kujiita Bakhressa?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom