Kijana kashabikie lede mziki upo juu ya kiwango chako haiwezekani watu wengi tuupende ww pekee upingeKiukweli tunashindwa kumuelewa huyu kijana na nyimbo zake amekua mtu wa hovyo kutoa nyimbo zisizo na content zenye kuelemisha au kushawishi Jamii kwa namna moja au nyengine in a positive way!
Katika mambo anayofanya au nyimbo anazotoa amefeli kabisa na hawezi kutoa pure bongo fleva.
Nyimbo zake nyingi ni fleva zaki Nigeria.
Ushauri: Anguko lake lipo karibuni namshauri abadilike mapema iwezekanavyo
Bdozen
Diamond anafanya kile wananchi wanapenda.Kiukweli tunashindwa kumuelewa huyu kijana na nyimbo zake amekua mtu wa hovyo kutoa nyimbo zisizo na content zenye kuelemisha au kushawishi Jamii kwa namna moja au nyengine in a positive way!
Katika mambo anayofanya au nyimbo anazotoa amefeli kabisa na hawezi kutoa pure bongo fleva.
Nyimbo zake nyingi ni fleva zaki Nigeria.
Ushauri: Anguko lake lipo karibuni namshauri abadilike mapema iwezekanavyo
Bdozen
Utasubiri sana anguko. Jua litakuwakiwa sana ukisubiri anguko la wengine. Vijana wavivu ndio mara nyingi mna wivu usio wa maendeleo. UTATESEKA SANA KUSUBIRI ANGUKO,NA HALITATOKEAKiukweli tunashindwa kumuelewa huyu kijana na nyimbo zake amekua mtu wa hovyo kutoa nyimbo zisizo na content zenye kuelemisha au kushawishi Jamii kwa namna moja au nyengine in a positive way!
Katika mambo anayofanya au nyimbo anazotoa amefeli kabisa na hawezi kutoa pure bongo fleva.
Nyimbo zake nyingi ni fleva zaki Nigeria.
Ushauri: Anguko lake lipo karibuni namshauri abadilike mapema iwezekanavyo
Bdozen
Mwanga huyu sio bure. Ndio hao hatufanyi vitu vyao visonge mbele kisa kuwakeshea kuwarudisha wengine chini.Kijana kashabikie lede mziki upo juu ya kiwango chako haiwezekani watu wengi tuupende ww pekee upinge
Mkanyage piaNamwangalia tu Jirani hapa naye anatumia jf.Ila yy hajui kuwa mie naitumia pia.
Kiukweli tunashindwa kumuelewa huyu kijana na nyimbo zake amekua mtu wa hovyo kutoa nyimbo zisizo na content zenye kuelemisha au kushawishi Jamii kwa namna moja au nyengine in a positive way!
Katika mambo anayofanya au nyimbo anazotoa amefeli kabisa na hawezi kutoa pure bongo fleva.
Nyimbo zake nyingi ni fleva zaki Nigeria.
Ushauri: Anguko lake lipo karibuni namshauri abadilike mapema iwezekanavyo
Bdozen