Kanye West alimshobokea Diamond

Mtoto wa kiume unatokwa na Povu jing mdomon kisa Diamond kuselfika na Kanye West? Amakweli ww ni mcheza pool asubuhi fanya kaz upate pesa uijue hata airport tu
Na uache kumfatilia Diamond Nyumbu ww km dance wa Lupela
Hhahaah maneno ya mkosaji...
wanaume wa dar hao wanaolewa awaoi ahahahaha
hahaha mleta uzi mbio hadi AIBU duuh!
Mbio wapi nipo hapa wewe ...am not a coward ...alaaah
 
Teh teh teh, teh.., mtoa mada sidhani kama atarudi hata kuchungulia humy ndani
Nimerudi kwani mnasemaje ..sasa..mnaotokwa na mapovu ni nyie sio Mimi ...kisa nimekosoa jambo ambalo liko wazi ...eti naomba Nipige picha viatu vyako nyie mnaumwa kweli labda mnaotokwa povu hapa ndo mmezoea kudangnywa aka wa tandale..akapige fiksi huko tandale
 
PATO8221st: 15661319 said:
Hhahaah maneno ya mkosaji...


Mbio wapi nipo hapa wewe ...am not a coward ...alaaah
Mimi siko dar nko mkoa flan wa wagumu kama vipi njoo wakuoe wewe ...chukua hio!!!!
 


Mkuu are you sure you mean what you wrote?! Ati BEST DESIGNER!.....Bhagheshi!
 
Mkuu are you sure you mean what you wrote?! Ati BEST DESIGNER!.....Bhagheshi! View attachment 332169
Kwani vipi mkuu au sababu wamevaa vibaya hao ...hio ni mtindo tu ....mbona huonyesh na label zake nyingine zza nguo na viatu....ila hio nayo ni mada nyingine ya fashion ...my point here is vijana tujifuñze kusema ukweli tuache fiksi...
 
namuonea HURUMA sana MWANAMKE utakayemuoa..!
mbona HASARA kubwa sana hii..!!!
Sasa nawewe kwa akili zako haswa timamu kanye west ni mtu wa kuomba eti apige picha viatu vya dai au kupiga naye selfie?usikute hata hiyo selfie diamond kamuomba kweli kanye.
 
="Bengazuu, post: 15660929, member: 133659"]Wakati unajiuliza kuhusu diamond na kanye ,, kaa chini fikiria yako je na wewe umeselfika hata na paka wa mtaani kwenu achaa majungu mtu mwenywe kazi kula wacha mahustlier wapige kazi # teamless[/QUOTE]
Hahahà maneno ya mkosaji ....mkuu kuna mwanadamu asiekula..mbona huna point mkuu ...what is your point ..hauna point ...kaa kimya tu..yan imekua kama taarabu sasa ...naona kama mipasho hii hakuna point ....
 
Sasa nawewe kwa akili zako haswa timamu kanye west ni mtu wa kuomba eti apige picha viatu vya dai au kupiga naye selfie?usikute hata hiyo selfie diamond kamuomba kweli kanye.
namaanisha mtoto wa KIUME hauwezi kuanzisha THREAD kwaajili ya kulidiscuss jambo kama hili...
anyway tukiachana na huo ustar wa KANYE WEST unaokubabaisha...
naomba nikuulize swali dogo tu,KANYE WEST ni nani..!?
 
namaanisha mtoto wa KIUME hauwezi kuanzisha THREAD kwaajili ya kulidiscuss jambo kama hili...
anyway tukiachana na huo ustar wa KANYE WEST unaokubabaisha...
naomba nikuulize swali dogo tu,KANYE WEST ni nani..!?
Rapper na mwimbaji tajiri wa kimarekani.
 
Sasa nawewe kwa akili zako haswa timamu kanye west ni mtu wa kuomba eti apige picha viatu vya dai au kupiga naye selfie?usikute hata hiyo selfie diamond kamuomba kweli kanye.
Dah mkuu this is what am talking about watu tushindane kwa hoja sio mipasho...thanks mkuu kwa kumjibu huyo naona hana point ana mipasho..mambo ya kuona na mwanamke aende jukwaa la mapenz .....back to point kweli mkuu hio selfie pengine aliomba kweli lakin umeichek selfie yenyewe ilivo...yan kanye west anaonekana ameweka sura ya mshangao yan like What the f....is this ...hii selfie kama aliilazimisha navoona
 
asante...
kwa kutumia AKILI hiyohiyo uliyojibia SWALI la kwanza naomba unijibu swali hili...
Diamond Platnumz ni nani..!?
Mwimbaji wa kitanzania anayefanya mziki wa majungu badala ya mziki wa kimaendeleo.
 
Kwani vipi mkuu au sababu wamevaa vibaya hao ...hio ni mtindo tu ....mbona huonyesh na label zake nyingine zza nguo na viatu....ila hio nayo ni mada nyingine ya fashion ...my point here is vijana tujifuñze kusema ukweli tuache fiksi...


Labda mimi mshamba!! Hao hawajavaa vibaya bali ndio design ya Kanye #yeezy mimi nayaita #masempele hakuna tofauti na wale jamaa wa the walking dead!

Kama hizi ni best clothing line....niokotwe Misungwi tu!
 
asante...
kwa kutumia AKILI hiyohiyo uliyojibia SWALI la kwanza naomba unijibu swali hili...
Diamond Platnumz ni nani..!?
Hahahaha....dah...okey....KANYE WEST IS THE BEST AND ONE OF THE RICHEST RAPPERS IN THE WORLD...
DIAMOND IS ONE OF THE BEST AND RICH AFRO POP SINGER IN TANZAÑIA
asante...
kwa kutumia AKILI hiyohiyo uliyojibia SWALI la kwanza naomba unijibu swali hili...
Diamond Platnumz ni nani..!?
 

kwa uandishi huu...
JICHUNGUZE mkuu..!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…