encyclopaedia Tanzaree
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 515
- 405
Acha kupotosha watu, Mo ana $1.6B, huyo Kanye ana $1.3BKibongobongo ina maana Kanye easy kawazidi hadi MO na Rostam utajiri...Daaah maisha haya bhana
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kupotosha watu, Mo ana $1.6B, huyo Kanye ana $1.3BKibongobongo ina maana Kanye easy kawazidi hadi MO na Rostam utajiri...Daaah maisha haya bhana
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe huyu dogo in sheikh?Mi nazungumzia wasanii na wachezaji mpira we unanitajia mashehe?
Mashehe wanaingiaje hapa?
Halafu wapi nimesema nafanya comparison ya uzoefu kwenye game?
Weka data zako hapa tuone wachezaji ambao wanamkwanja kuzidi wasanii na sio kutaja majina ya masheikh
Messi analipwa Kwa mpira..Messi ana 400 $million na ndiye mchezaji mwenye mkwanja mrefu
Waliokua wanasema wachezaji wanamkwanja kuliko wasanii wa muziki nadhani majibu mshapata
Mwengine huyu hapa Matheu Flamini Kiungo wa Marseille,Arsenal ,AC Milan na Crystal Palace net worth yake ni $14 bilion kaivest kwenye mafuta na gesi.Kumbe huyu dogo in sheikh?View attachment 1430169View attachment 1430170
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo faiq unaelewa source ya huo utajiri?Kumbe huyu dogo in sheikh?View attachment 1430169View attachment 1430170
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo biashara ya viatu imesababishwa na mziki wake...kwaiyo hapa source bado ni ile ile mziki. Huwezi kuepuka kitaja mafanikio aliyoyapata kwenye viatu kwa kutohusisha mziki wakati mziki ndio uliomfanya afungue hivyo viwandaMessi analipwa Kwa mpira..
Kanye anafanya biashara ya viatu..
Anauza viatu vyake ghali sana..
Sio mziki uliomlipa
Mziki umempa umaarufu sasa anauza viatu
Dollar milioni 400 alizolipwa Messi ..Kwa mpira
Kanye hawezi pata hata robo Kwa kuimba tu
Umri/miaka vinahusiana vipi na utajiri mkuu?Faiq bolkiah unamuweka wap?!
Alafu tangu lini messi akawa tajiri kuliko ronaldo?
Kanye west ameanza carrier ya mziki mwaka gani na messi lini?
Swali la mwisho kanye west ana miaka mingapi na messi ana mingapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mohammed Dewji "Mo"Kibongobongo ina maana Kanye easy kawazidi hadi MO na Rostam utajiri...Daaah maisha haya bhana
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeezy ni deal na Adidas wala sio Nike. Wanaichallenge Air Jordan ya Nike.Ni kweli Toka atoe Yeezy dili na Nike jamaa alitakiwa awe juu wamchelewesha ...na hawezi shuka jamaa ni genius ...ana msemo wake anasema " I am a William Shakespeare in a flesh Walter Disney'
My fav rapper of all time.
Kifuatacho [emoji116]
#Kanye West for President 2024View attachment 1430167
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo farida anayemzungumzia hapo kuna artcle imeeleza kua analipwa dola 1000 kwa week ambayo kwa bongo ni sawa na milion 2 na ushee
Alianza na Nike sahv ndo Yuko na AdidasYeezy ni deal na Adidas wala sio Nike. Wanaichallenge Air Jordan ya Nike.
Kelly Jener shemeji yake 50 mdogo wake Kim K ana miaka 21 alitangazwa kuwa billionea miaka kama 3 iliyopita ana mkwanja mrefu kwa kuuza lipstick
50 ni kama H baba50 hana mambo recently kabakia kuwa comedian wa IG kama Idris Sultan tu sina uhakika sana ila nadhani top 4 ina hawa Hov,Diddy,Kanye,Drake plus wazungu kibao waliopata utajiri nyuma ya pazia bila kushka mic mf Lyor Cohen