Kanye West atajwa kuwa Rapper wa pili kuwa bilionea baada ya Jay Z

Kanye West atajwa kuwa Rapper wa pili kuwa bilionea baada ya Jay Z

Kumbe Alli kiba ni rol model wa watu wengi tu
kanye nae alikuwa hapendi kujionesha kama kiba...?
ebu tumsubiri naye king ipo siku atawadhihirishia wa Tz
 
Ubishi wa kizamani sana. Muziki na mpira zote ni sanaa tu. Ukiwa na kipaji kunafedha utapata hivyo inakuhitaji akili yako ichangamke ujiongeze ili uwekeze uweze kuwa tajiri hapo baadae ktk maisha yako. Ukitumia fedha vizuri utafanikiwa, ukitumia vibaya utapotea kwenye game. Ukimwangalia mnyama diddy kwenye muziki wake alikua hana album nyingi ila kajiongeza sasahivi tajiri. Ukija Tanzania wakina mr nice walipata helaaa wee, enzi hizo viwanja kinyerezi laki 3 lakini waliendekeza starehe. Flamini kacheza arsenal pesa alipata ya kawaida kuliko hata wakina dinho ila amewekeza eneo potential hadi netwealth inafika 14 bn usd na hapo ujue sio kiwanda cha juice hicho. Muhimu tupambane jamani familia zetu ziishi maisha mazuri.
 
Huyo faiq unaelewa source ya huo utajiri?


Halafu huyo dogo hata salary anayolipwa kwa week sidhani kama anamzidi samatta.
Naamini wengi hawaelewi kuwa huyo dogo ni mtoto wa Mwanamfalme Jefri Bolkia wa Brunei, hivyo source ya utajiri wake sio mpira bali ni wa kurithi. Na ndio maana hata Queen Elizabeth hawekwi kwenye richest list.

"ᴺᵒ ⁱᵐᵖᵒˢˢⁱᵇˡᵉ ᵗʰᵉ ʷᵒʳᵈ ⁱᵗˢᵉˡᶠ ˢᵃʸˢ ᴵ'ᵐ ᵖᵒˢˢⁱᵇˡᵉ"
 
Naamini wengi hawaelewi kuwa huyo dogo ni mtoto wa Mwanamfalme Jefri Bolkia wa Brunei, hivyo source ya utajiri wake sio mpira bali ni wa kurithi. Na ndio maana hata Queen Elizabeth hawekwi kwenye richest list.

"ᴺᵒ ⁱᵐᵖᵒˢˢⁱᵇˡᵉ ᵗʰᵉ ʷᵒʳᵈ ⁱᵗˢᵉˡᶠ ˢᵃʸˢ ᴵ'ᵐ ᵖᵒˢˢⁱᵇˡᵉ"
Watu wengi walijua hivyo hawakujua kua huo utajiri ni wakurithi. Huyo dogo anapokea salary ya dola 1000 kwa wiki yani kazidiwa hadi na samatta
 
Inapeneza hongera zake...

Kumbe mpaka upeleke nyaraka ndiyo wakushuhudie...



Cc: mahondaw
 
Hapa kwetu Rapper Bilionea ni Ande Sele peke yake, hawa wengine wakina Fid Q wana hela za kununua mitumba tu.
 
Aisee sijui ndio sababu inafanya sijafikia level ya kuitwa Tajiri ila nasema ningekuwa na hela hivi aiseee ningetomba mademu wazuri aiseee..... Yaani ningekuwa natomba aisee acha tu wacha nisipate tu hizi hela

Sent using Jamii Forums mobile app


Sasa mkuu,,, kumbe wewe ni mwanaume?! Ile mada yako ya kuvutiwa na Vitovu vya wanawake wenzio inakuwaje sasa?!

Mmmh jf kina ID's fake nyingi sana aiseee!
 
Messi analipwa Kwa mpira..
Kanye anafanya biashara ya viatu..
Anauza viatu vyake ghali sana..
Sio mziki uliomlipa
Mziki umempa umaarufu sasa anauza viatu

Dollar milioni 400 alizolipwa Messi ..Kwa mpira
Kanye hawezi pata hata robo Kwa kuimba tu
Hapa tunaangalia uwingi wa hela sio kazi!
 
Alinunua jumba la mike tyson kwa dola milioni 3.7 ila akaja kuiuza kwa dola milioni 2.5 hivi sababu nyumba ilikuwa gharama kuimaintain na expenses zake...... Akaona isiwe shida akaiuza....

Sent using Jamii Forums mobile app
Matunzo ya ile nyumba kwa mwezi ni mil 100 za kitanzania........
ambapo hiyo hela hapa tz vijana wanatoa jasho kuipata wajenge vigorofa na hawapati!?
noma sana aisee sijui hii dunia iliumbwa kwa vipimo gani??
 
Messi ana 400 $million na ndiye mchezaji mwenye mkwanja mrefu

Waliokua wanasema wachezaji wanamkwanja kuliko wasanii wa muziki nadhani majibu mshapata
Kacheki madesa freshi messi snaongoza kwa mshahara wa kwa week Ila sio anaengoza kwa utajiri atakuwa ni wapili ama wa tatu nafikiri
 
Back
Top Bottom