Angel Nylon
JF-Expert Member
- Jul 26, 2011
- 9,164
- 18,402
Teddy bear 🧸Paka sio paka😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Teddy bear 🧸Paka sio paka😂😂
We na nani mlikuwa mnamsimanga? Vijana wa kimbiji bwana!!!!!Si tulikua tunamsimanga anamuanika uchi mkewe
Akaona isiwe tabu 😂😂😂😂
Dogo you went straight into attack mode as if nimekutukania Mama yako 👀......We na nani mlikuwa mnamsimanga? Vijana wa kimbiji bwana!!!!!
Akitembea UCHI pia tupu zote NJE mnapaza Sauti mnataka mumveshe nikabu?Sasa hio fashion si mzigo na mateso Kwa mkewe Bianca
View attachment 2957098
Mwamba baada ya kuachana na Kim anaonekana kama anaishi maisha ya stressWamekutana pipa na mfuniko ,wote chenga.
Bora hilo liduvet alilovaa mkewe kuliko anavokuwaga uchiKanye ni stupid wa kujifanyiza, haijalishi ana hela kwa sasa, ila ni very stupid
Hata huyo mkewe atakuja sema alikuwa ana fosiwa kutembea uchi🤣🤣Kuna kitu kinaniambia kuwa ipo siku hizi picha zitatumika dhidi ya Kanye West maana hakuna mtu kichwa kizito kama kanye, washamblock sehemu nyingi ila anapita, hizi sexual things ndio huwa zinawakamata sana black billionaires na ninahisi ndipo atakamatiwa hapo
Au sio hata ukivaaa magunia unaonekana unaenda na fashion 😅Tafuta hela Mkuu
Bora hapo kajisitiriSasa hio fashion si mzigo na mateso Kwa mkewe Bianca
View attachment 2957098
Acha mbwembwe, wapi huko mlipokuwa mnamsimanga Kanye? Wewe na nani mlikuwa mnamsimanga? 🗑 🚮 🗑 🚮Dogo you went straight into attack mode as if nimekutukania Mama yako 👀......
You’re too DUMP not to realize this post was SATIRE
Relax dogo maisha hayataki HASIRA
DOGO relax, this is just a funny post, don’t take it too seriouslyAcha mbwembwe, wapi huko mlipokuwa mnamsimanga Kanye? Wewe na nani mlikuwa mnamsimanga? 🗑 🚮 🗑 🚮
Kwahiyo ulidanganya sio mkuu?😀😃😄😁😆DOGO relax, this is just a funny post, don’t take it too seriously
Samahani kama nimekukwaza 🙏
Hiyo ipo na wanavyofanya hizo parade mtaani huku wazazi wa binti hawafurahi. Siku akitoka mbele na kulipua vitu, Kanye atapata wakati mgumu sanaHata huyo mkewe atakuja sema alikuwa ana fosiwa kutembea uchi🤣🤣
Hatimaye Mwenyezi Mungu amemjalia mwamba mke wa kufanana naye. Siyo wanaume/wanawake wote hujaliwa hiki kitu na Muumba wao.Sasa hio fashion si mzigo na mateso Kwa mkewe Bianca
View attachment 2957098