Kanye West: 'Nina uraibu wa ponografia na iliharibu familia yangu'

Kanye West: 'Nina uraibu wa ponografia na iliharibu familia yangu'

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
1662283525612.png

Rapa Kanye West amefichua jinsi uraibu wake wa ponografia ulivyoharibu familia yake. Bilionea huyo amethibitsha hilo kupitia ukurasa wake wa Instagram
1662283704044.png

Chapisho hilo linasemekana kumrejelea mama mkwe wake wa zamani, Kris Jenner - ambaye anamsimamia Kylie na mke wake wa zamani, Kim Kardashian

Taarifa rasmi za talaka za Kim na Kanye ziliibuka kwa mara ya kwanza mnamo Februari 2021. Haya yalikuja wiki kadhaa baada ya uvumi kuhusu ndoa yao kuvunjika.

Itakumbukwa kwamba West alimchana mke wake kupitia Twitter mnamo Julai 2020, kwa kukutana na rapper Meek Mill katika hoteli ya Waldorf.

Baadaye alifuta tweets.

Kutengana kwao kumekumbwa na drama kwenye mitandao ya kijamii.
 
Why was Kanye visiting porn sites? To see if Kim was riding Ray Jay better than she rode him?
 
Back
Top Bottom