TANZIA Kaoge afariki dunia

Daah! Jana kuna Mzee alipigiwa na Mtoto wa Mdogo wake akimweleza kuwa Mume wake ni Punga.Yaani jamaa alimwambia Mke wake kuwa Anapumuliwa na masela wake wapo Singida,Mwanza na Arusha.Sasa jamaa linafunga safari kwenda hayo maeneo kufikishwa kileleni.Mke wake alifuma picha& video Jamaa akipumuliwa ndiyo Mme wake akampa ubuyu kuwa alianza Michezo akiwa Form II(shule za kulala huko huko).Sasa Baba ameombwa ushauri na mwanae,Tushauri ili kumsaidia
 
Yuda 1:7
[7]Kama vile Sodoma na Gomora na miji iliyokuwa kando-kando, waliofuata uasherati kwa jinsi moja na hawa, wakaenda kufuata mambo ya mwili yasiyo ya asili, imewekwa kuwa dalili, wakiadhibiwa katika moto wa milele.
kama kiswahili hauelewi basi
endelea kuamini unachoamini
 
Ukimuona mtu anafuga mashoga basi jua kuwa huyo mtu hafai kwenye jamii na anapenda mambo hayo.
 
s

ometimes wanetu wanaiga unakuta mama kashalia mpaka mwisho mtoto ndo ameshakuwa bandidu jamani inaumiza sana unatamani hata ungechoropa mimba
Huku wazo kwa makamba kuna jamaa flani shoga yani kwao wa kshua tu.
Unaambiwa baada ya kwao kujua wakamfukuza.
Si ndo akaolewa kabisa baada ya miaka ikabidi wamfuate wamtoe.
Washahangaika naye kwa masheikh, wachungaji waganga yani imegonga mwamba mpaka wanasaikolojia.
Yupo tu anatembea kabinua kalio na katanua mikono.
Inauma sana
 
Kapumzike unapostahili Kaoge. Shoga mbabe kuliko wote ila sitakusahau ulivyotuchamba na mashoga zangu kisa tunakushangaa unavyojichetua
 
Umeongea la msingi na limenigusa. Lakini hawa viumbe ninavyo wachukia....Mungu anisamehe
 
Umeongea la msingi na limenigusa. Lakini hawa viumbe ninavyo wachukia....Mungu anisamehe
 
Alikuwa anajisifia mwenyewe anavaa kiatu kirefu, na madera, mwanaume nzima, akavalie kaburini sasa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…