TANZIA Kaoge afariki dunia

TANZIA Kaoge afariki dunia

maskini..
angekubali tu akaanza kutumia vidonge.

kapumzike kijana.
waswahili wataanza kukuchamba hapa ilhali huwezi kuwajibu
Mungu ndo wa kukuhumu sio binadamu mwenzio asiekamilika pia.
Inaonesha wewe umeelewa mada, mimi sijaelewa... Pachanga
 
Binaadamu kwa unafki. Eti aende peponi,mara ooh usihukumu. Kama Mwenyezi Mungu aliweza kuuchoma mji wa sodoma na gomora,atawezaje kupindua haki hadi ampeleke mbinguni??
Najua hakuna mkamilifu wala hakuna mwenye haki ya ku hukumu isipokuwa ni yeye tu,lakini huyu kijana na wenzie wenye tabia kama hizi..wachomwe tu na vifuu kibao vya nazi.
Kila siku mnakesha kukemea ushoga,lakini akifa shoga ooh usihukumu..
Unafki on freak
Sio unafki ni hulka ya binadamu wote. Nduguyo akiwa mzinzi na akafa hutasikitika?? Dhambi/matendo yake hayamuondolei ubinadamu alionao bado ana sifa ya kua binadamu.
 
Back
Top Bottom