Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jeneza tu walibeba wanawakeNiliona picha wakati wanaaga yaani hakukua hata na watu na waliagia saloon
Ila Wana balaa. Mtu anafurahia kunuka mavyJeneza tu walibeba wanawake
Wanawake si ndiyo wanakuwaga washkaji zaoJeneza tu walibeba wanawake
Primary alikuwaje?Kumbe mshikaji alishafariki?
Nilisomaga nae jamaa. Mapambano primary mwenge.
Tupe misimamo yako huko primaryKumbe mshikaji alishafariki?
Nilisomaga nae jamaa. Mapambano primary mwenge.
Misimamo yangu?Tupe misimamo yako huko primary
No yake huyo kaogeMisimamo yangu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jeneza tu walibeba wanawake
Aahhh!wapi!!Mungu siyo binadamu,mimi na wewe tunaweza kwenda motoni halafu yeye akaenda zake mbinguni!![emoji53][emoji53][emoji53]
Duh hii nchi tumeona mengiKaka maarufu kwa jina la Kaoge ambaye alileta tafrani baada ya kuhojiwa kwenye kipindi cha Take One cha Zamaradi Mketema, na kukiri anajihusisha na vitendo vya jinsia moja amefariki dunia.
Chanzo cha kifo chake inasemekana ni kushindwa kukubaliana na hali aliyokuwa nayo......( mjiongeze )
Huyu ndio umbwa anaebwekea maendeleo?
Na bado hawa wapo wamejaa teleDuh hii nchi tumeona mengi
Tuishi nao tu hamna namnaNa bado hawa wapo wamejaa tele
Ova
Kwamba Genta alishavuta kambaGentamycin a.k.a Kaoge+