TANZIA Kaoge afariki dunia

TANZIA Kaoge afariki dunia

Serikali imewatelekeza. They live in fear and cannot access basic medical services. What do you expect?

Na NGOs zilizokuwa zinawasaidia kuwapa elimu ya kujikinga na maradhi na kuwapa KY jelly zikatishiwa kufungiwa
 
Innaa Lillah wainnaa ilayhi rajiuun.
Allah amlaze panapostahili.
Muda wake umemaliza tu wa yy kubaki ktk dunia kubaki na cd0 ni sababu tu.
Yy amekufa na cc tutakufa. Allah atupe khatma njema.
Allah atustiri na liwat na ngono zote za ajabu ajabu.
Allah atusameh tulipokosea na atuongoze ktk Kheir
Ameen
 
Sina neno hapa kila mtu na Mungu wake au usiwe na Mungu utajua wewe unapo paamini au unayemwamini
Lkn mwisho wa siku Lazima kuna Mmiliki wa ulimwengu huu
Ndio yeye atakayejua nani ni nani
Na amefanya nini nani kafanya kosa na hajakosa!!.
 
Kaka maarufu kwa jina la Kaoge ambaye alileta tafrani baada ya kuhojiwa kwenye kipindi cha take one cha zamaradi mketema, na kukiri anajihusisha na vitendo vya jinsia moja amefariki dunia.

chanzo cha kifo chake inasemekana ni kushindwa kukubaliana na hali aliyokuwa nayo......( mjiongeze )
Maandiko yameshaelekeza ktk imani zote mwenye matendo hayo makazi yake ni jahannam mhm tuliohai kumuomba Mungu atuepushe na adhabu hiyo sisi na vizazi vyetu,ndio hawa wanasababisha mvua hazinyeshi na zikinyesha dar tunaishi kama bata,bado rey younger tupumue.
 
Mungu siyo binadamu,mimi na wewe tunaweza kwenda motoni halafu yeye akaenda zake mbinguni!![emoji53][emoji53][emoji53]
Mungu sio kilaza alishatupa mwongozo wa kuishi binadam,kilichobaki ni sisi kuufuata au kuuacha,fuata usalimike acha uangamie sasa kaoge mwisho kaishie pabaya kama hakutubu,ni sawa na sisi tulio hai tusipotubu tutaangamia na mwisho hatuujui mhm maandalizi kama kesho tunaondoka,kwa mujibu wa imani kwa matendo ya kaonde kama hakutubu anaenda kuwa kuni.
 
Binaadamu kwa unafki. Eti aende peponi,mara ooh usihukumu. Kama Mwenyezi Mungu aliweza kuuchoma mji wa sodoma na gomora,atawezaje kupindua haki hadi ampeleke mbinguni??
Najua hakuna mkamilifu wala hakuna mwenye haki ya ku hukumu isipokuwa ni yeye tu,lakini huyu kijana na wenzie wenye tabia kama hizi..wachomwe tu na vifuu kibao vya nazi.
Kila siku mnakesha kukemea ushoga,lakini akifa shoga ooh usihukumu..
Unafki on freak
Soma maandiko vizuri Mungu hakuiangamiza Sodoma na Gomorah kwa ajili ya ushoga
 
Back
Top Bottom