TANZIA Kaoge afariki dunia

TANZIA Kaoge afariki dunia

Kweli dunia mapito sema wasiwasi wangu ni huko aendako
Huko aendako huna mamlaka nako na huna sababu yo yote ya kuwa na wasiwasi nako. Hiyo ni kazi ya Mungu ndugu yangu na utashangaa Marehemu pengine alishajiweka sawa na Mungu wake kabla ya pumzi yake ya mwisho na siku ya siku unamkuta yuko peponi na wewe unayejifanya hapa uko kwa akina Yuda Iskariote wakichochea moto sabini mara sabini. Kamwe tusihukumu
 
Kkkkkkkkk usiwe na hofu wasukuma ni kama Real Madrid au Barcelona (means Chama kubwa)


hahaa ni kweli jaman tena sasa hv jaman sijui wametokea wapi !yaan kila mkoa ni kama wamemwagwa vile !hahaa dah km una stress kaa nao utacheka mno mno
 
hahaa ni kweli jaman tena sasa hv jaman sijui wametokea wapi !yaan kila mkoa ni kama wamemwagwa vile !hahaa dah km una stress kaa nao utacheka mno mno
Tuko wengi na sasa badala ya ku deal na mifugo wengi wetu tumeamua kuwekeza kwenye biashara japo bado wengine wanaamini wingi wa ng'ombe ndiyo utajiri so wanaishi kwa kuhama hama hadi South Africa kwa Madiba wapoooooo
 
Tuko wengi na sasa badala ya ku deal na mifugo wengi wetu tumeamua kuwekeza kwenye biashara japo bado wengine wanaamini wingi wa ng'ombe ndiyo utajiri so wanaishi kwa kuhama hama hadi South Africa kwa Madiba wapoooooo


bora uliopo nao huko nadhan wanakaexposure !dah nadhan tupunguze kuzaana wasukuma jaman !yaan imekuwa toomuch !
 
Back
Top Bottom