TANZIA Kaoge afariki dunia

Hahahahaha ikitokea yule anayeanza hukumu mwenzie siku yake ikifika hata kabla hajafika mlangon fail lake linasomwa dhambi tele akina yuda wanaambiwa waongeze petrol kwenye kuni hahahah
 
Ifanyike sensa ya kuwabaini waskma mashoga " bashyte" achunguzwe...
Mkuu mashoga wanatoka kila kabila.

Kuna jamaa toka Arachuga kaolewa mbelembele. Picha zake na stori zilibamba sana mitandaoni.

Usisahau stori ya mwanaume huko Mtwara kufunga ndoa na mwanaume mwenzie na kesi imefikishwa mbele ya vyombo vya sheria.

Usimsahau yule kiongozi wa umoja wa vijana wa chama fulani inadaiwa kaolewa na man mwenzie Mombasa.
 
Don't Judge

Let God do His work.

acha kujidanganya wanadamu bila ku judg hatuwezi kua na hofu kwa kua mambo yapo wazi ukifanya hili utafikishwa pale ukifanya kile utaenda pale-hata kama mungu ni mwingi wa kusameh ila c kwa kufanya maksud mpka kujianika kwenye media ikisha et dont judg ndo unavo jitia matumaini ya uongo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…