TANZIA Kaoge afariki dunia

TANZIA Kaoge afariki dunia

Though sometimes tunalaani ushoga...but ukiangalia upande mwngine ile hali inawatokea wanashindwa kujizuia...mtoto anaweza kuzaliwa akiwa na hormone zilizozidi zinazompelekea kuwa shoga,si maamuz yke..

Mfano, kuna pills ambazo kinamama hutumia ( emergence pills ,,P2..) Sometimes zikifail na mama akipata ujauzito,kama ni was kiume kuna hatihati zile hormone zikamsababishia mtoto wa kiume ushoga..japo si marazote hutokea hvyo...RIP..MUNGU NDO WA KUHUKUMU
 
nadhani kuna kitu kinaitwa " Utamaduni" ambacho unapaswa ujue kuwa kila kabila iko Nayo na ndiyo Id yake, siamini kama wasukuma ni wakosaji A-Z wana mazuri yao pia ambayo jamii nyingi zimeyatia kapuni kiasi kwamba mabaya ndo Yamekuwa Icon ya wasukuma,

hali hii imewafanya hata wasukuma baadhi wajihisi wakosaji na washamba ama wasiostahili na kuanza kuungana na wakosoaji wakiamini kuwa wao watapata unafuu wa kisaikolojia juu ya hii mitazamo dhidi yao.

Cha msingi.
shule zipo kila kona ya nchi hii si kwa ajili ya wasukuma pekee, bali kuwaelimisha watu wote ili kuondoa ujinga na kuwaweka kuwa jamii moja ya kitanzania.


mbona unaumizwa sana na ukosoaji na kebehi kwa wasukuma mkuu? huenda nawe ni mmoja wapo wa wanaooga kwa lisaa lizima nusu saa anasugua yebo !lol
 
Mungu atusamehe, na atupe moyo wa kujifunza, hakuna wa kumnyooshea kidole mwenzake
 
mbona unaumizwa sana na ukosoaji na kebehi kwa wasukuma mkuu? huenda nawe ni mmoja wapo wa wanaooga kwa lisaa lizima nusu saa anasugua yebo !lol
mama sidhani kama unachosema ni chaguo la fikra huru, ujenzi wa hoja ni hekima na si kujibu kila jambo kwa mtazamo wa kiujumla, akili zipo Ila zinapaswa zishirikishwe kikamilifu ili kujenga maarifa na busara pasipo kutumia ujumla wa mambo katika kujadili mambo husika.

kitendo cha wachache wenu kuaminishwa ya kwamba nduguzo wasukuma ndio wavaa yeboyebo wakubwa imekujengea akiba ya kumbukumbu ya jambo hilo.
 
Amebaki jems delicious, nawachukua sana hawa jamaa
 
Mungu Lazima amuhukumu Huyu tena Wala hata kutananaye huyo ninmojakwamoja motoni ! Maana Hata sodoma n'a gomola aliwaita adabu kwa moto baada ya kufanya vitendo Kama hivyo !
ndio maana nkawaambia muachieni Mungu.
alimuumba mwenyewe na cha kumfanya anajua mwenyewe.
wekeni akiba ya maneni
msishangae hiyo siku ya kiama huyu anapelekwa peponi akina mzee wa upako wanaenda motoni

MUNGU si binadamu..
 
Kidume unakimbia k upigwe nyuma [emoji15] [emoji15] ! Miaka hii inabidi watoto wa kiume wachungwe zaidi ya mabinti.
 
Back
Top Bottom