Mtukutu wa Nyaigela
JF-Expert Member
- Sep 4, 2018
- 8,013
- 14,263
heshimu imani ya mtuIko hivi, nina binti nimemtongoza sasa yeye huwa anajiona mtu wa dini sana, kiufupi eti kaokoka lakin vizinga ananipiga ila kutoa mzigo hataki eti anasema ni mapema hawezi nipa mzigo ila pesa ananiomba.
Mpaka sasa amekula kama 60,000 ivi sasa nikimwambia kuhusu show analeta ety ooooh mapema sasa, je, nitumie mbinu gani nimkule tuuu niachane naye.
Dahh Alafu ukute kuna muhuni anakula bure hapo hapoIko hivi, nina binti nimemtongoza sasa yeye huwa anajiona mtu wa dini sana, kiufupi eti kaokoka lakin vizinga ananipiga ila kutoa mzigo hataki eti anasema ni mapema hawezi nipa mzigo ila pesa ananiomba.
Mpaka sasa amekula kama 60,000 ivi sasa nikimwambia kuhusu show analeta ety ooooh mapema sasa, je, nitumie mbinu gani nimkule tuuu niachane naye.
Ni mara ngapi tunasema humu ndani kuwa imani ya mwanamke haifanyi kuwa mwenza sahihi?Iko hivi, nina binti nimemtongoza sasa yeye huwa anajiona mtu wa dini sana, kiufupi eti kaokoka lakin vizinga ananipiga ila kutoa mzigo hataki eti anasema ni mapema hawezi nipa mzigo ila pesa ananiomba.
Mpaka sasa amekula kama 60,000 ivi sasa nikimwambia kuhusu show analeta ety ooooh mapema sasa, je, nitumie mbinu gani nimkule tuuu niachane naye.
Nan kakuambia ukioa haulipii😁kwa sababu nia yako ni kula usepe,endelea kutoa hela,hakuna K ya bure,either uoe au ule kwa kuilipia.
unalipa lakini malipo halali.Nan kakuambia ukioa haulipii😁
Mmh! Hahaaaa ila comment za wadau huwa zinaua sana 😂😂😂Nawe mwambie umeokoka, mwambie mchungaji wa kanisani kwenu amesema kuwapa hela wadada usiolala nao ni laana.
Mi sijaokoka ntumie.....Iko hivi, nina binti nimemtongoza sasa yeye huwa anajiona mtu wa dini sana, kiufupi eti kaokoka lakin vizinga ananipiga ila kutoa mzigo hataki eti anasema ni mapema hawezi nipa mzigo ila pesa ananiomba.
Mpaka sasa amekula kama 60,000 ivi sasa nikimwambia kuhusu show analeta ety ooooh mapema sasa, je, nitumie mbinu gani nimkule tuuu niachane naye.
Apandishe mashetani aseme kiti anatakiwa apewe kitoumboua lasivyo litamuua 😹😹😹