Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Bwana alitoa na bwana ametwaa, jina la bwana lihimidiwe 🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bwana alitoa na bwana ametwaa, jina la bwana lihimidiwe 🤣
Mpaka sasa amekula kama 60,000 ivi sasa nikimwambia kuhusu show analeta ety ooooh mapema sasa, je, nitumie mbinu gani nimkule tuuu niachane naye.
Bro she is using you in her favour, achana nae mbona vitumbua ni vingi sana mtaani.Iko hivi, nina binti nimemtongoza sasa yeye huwa anajiona mtu wa dini sana, kiufupi eti kaokoka lakin vizinga ananipiga ila kutoa mzigo hataki eti anasema ni mapema hawezi nipa mzigo ila pesa ananiomba.
Mpaka sasa amekula kama 60,000 ivi sasa nikimwambia kuhusu show analeta ety ooooh mapema sasa, je, nitumie mbinu gani nimkule tuuu niachane naye.
Mkuu ulitaka jamaa ateketeze 200k ndio aje kuleta uzi, kwann asishtuke mapema?Hebu wekeza akili yako kwenye kutafuta pesa kwanza...
Kama 60,000 tu ndio inakufanya uanzishe uzi, basi ujue una hali mbaya...
60k unalalamika hadi jf 🤣🤣🤣🤣Iko hivi, nina binti nimemtongoza sasa yeye huwa anajiona mtu wa dini sana, kiufupi eti kaokoka lakin vizinga ananipiga ila kutoa mzigo hataki eti anasema ni mapema hawezi nipa mzigo ila pesa ananiomba.
Mpaka sasa amekula kama 60,000 ivi sasa nikimwambia kuhusu show analeta ety ooooh mapema sasa, je, nitumie mbinu gani nimkule tuuu niachane naye.
We sema mna mda gani tangu mkutane 😊Ni wewe tena
Hakuna kitu naogapa km Natafuta ajira akiona nyunzi km hizi... Mungu aepushie mbali...
dahEbu tafuta hela, watakuja wenyewe kukuletea mizigo ya kila aina mazeee
Mkuu ulitaka jamaa ateketeze 200k ndio aje kuleta uzi, kwann asishtuke mapema?
Hakutaki, jikate mapema tu. Sio kila 'ke wakufakamia, utajizolea mambo hautaaminiIko hivi, nina binti nimemtongoza sasa yeye huwa anajiona mtu wa dini sana, kiufupi eti kaokoka lakin vizinga ananipiga ila kutoa mzigo hataki eti anasema ni mapema hawezi nipa mzigo ila pesa ananiomba.
Mpaka sasa amekula kama 60,000 ivi sasa nikimwambia kuhusu show analeta ety ooooh mapema sasa, je, nitumie mbinu gani nimkule tuuu niachane naye.
Nini na wewe mbona fujo asubuhi asubuhi?
😀😀😀😀😀Hakuna kitu naogapa km Natafuta ajira akiona nyunzi km hizi... Mungu aepushie mbali...
Kwaio kila siku unampa 10000,,🥲apo bado ya leo ifike 70000Hahaha wiki moja