Usiogope kajukuu.
Kwa Pope Kaizer sina mashaka. Ila Roya, Kimey na Teamo....Sina imani nao kiabisaaa. Wachakachuaji wakubwa tena malabuku zao.:A S angry::A S angry::A S angry::A S angry:
Katiba ni sehemu ya maisha yangu....kama kingunge na katiba ya jembe na nyundo...
Andaa audited accounts kabisa....
Kwani mambo gani hasa hayo ambayo hayawezi? Kupika? au kufua nguo.......
Wewe ni kama nani unipe order hiyo? We tumeshakupiga chini. Tunekuhamishia kule kwa kajukuu wakakupiga msasa. Tuachie ISC tafazali.:nono::nono::nono:
Hapo uko kikazi kwa mujibu wa katiba au unafanya Overtime?
Hahahaha! Hatimaye umefufuka kama ulivyosema?
Miss you so much my dears.Sio kama napenda,tatizo ni huu uchaguzi...Najaribu kuchakachua ili tushinde kwa kshindo na ndio maana hii mitaa ya MMU niliondoka kidogo.Bila shaka hapa ni pema na Mila mbaya zote zimeshindwa na kulegea.....ZD you are becoming been scarce...
Miss you so much my dears.Sio kama napenda,tatizo ni huu uchaguzi...Najaribu kuchakachua ili tushinde kwa kshindo na ndio maana hii mitaa ya MMU niliondoka kidogo.Bila shaka hapa ni pema na Mila mbaya zote zimeshindwa na kulegea.....
Nafikiria kuongea na rais abatilishe adhabu yako.Mimi naishi katiba....
Miss you so much my dears.Sio kama napenda,tatizo ni huu uchaguzi...Najaribu kuchakachua ili tushinde kwa kshindo na ndio maana hii mitaa ya MMU niliondoka kidogo.Bila shaka hapa ni pema na Mila mbaya zote zimeshindwa na kulegea.....
I love zion daughter
Leo jj jioni ndani ya nyumbaLeo jj jioni ndani ya nyumba
atachukua leo leoUshachukua kadi yako ya uanachama?