Kaona mambo huyawezi, kaja kwangu

Kaona mambo huyawezi, kaja kwangu

Usiogope kajukuu.

Kwa Pope Kaizer sina mashaka. Ila Roya, Kimey na Teamo....Sina imani nao kiabisaaa. Wachakachuaji wakubwa tena malabuku zao.:A S angry::A S angry::A S angry::A S angry:

Tatizo Asprin ukishaanza kujiita babu basi hufai...unakua kabaila waziwazi..
 
Katiba ni sehemu ya maisha yangu....kama kingunge na katiba ya jembe na nyundo...


Andaa audited accounts kabisa....

Wewe ni kama nani unipe order hiyo? We tumeshakupiga chini. Tunekuhamishia kule kwa kajukuu wakakupiga msasa. Tuachie ISC tafazali.:nono::nono::nono:
 
Wewe ni kama nani unipe order hiyo? We tumeshakupiga chini. Tunekuhamishia kule kwa kajukuu wakakupiga msasa. Tuachie ISC tafazali.:nono::nono::nono:

Unasahau huwa makala anatumwa na makamba...
 
Miss you so much my dears.Sio kama napenda,tatizo ni huu uchaguzi...Najaribu kuchakachua ili tushinde kwa kshindo na ndio maana hii mitaa ya MMU niliondoka kidogo.Bila shaka hapa ni pema na Mila mbaya zote zimeshindwa na kulegea.....

Umesamehewa dhambi zako...karibu kwa amani....
 
Mimi naishi katiba....
Nafikiria kuongea na rais abatilishe adhabu yako.

Miss you so much my dears.Sio kama napenda,tatizo ni huu uchaguzi...Najaribu kuchakachua ili tushinde kwa kshindo na ndio maana hii mitaa ya MMU niliondoka kidogo.Bila shaka hapa ni pema na Mila mbaya zote zimeshindwa na kulegea.....

Karibu tena ZD. Mchumba nilikukosa sana. Hajambo mkoloni? Angalia asikuchakachue. Baba hapendi.
 
Leo jj jioni ndani ya nyumba
Leo jj jioni ndani ya nyumba
progress.gif

Reply Reply With Quote Thanks Posted via Mobile

Remove Your Thanks
The Following User Says Thank You to Nyani Ngabu For This Useful Post:

Bigirita (Today)​
 
Back
Top Bottom