Fixed Point
JF-Expert Member
- Sep 30, 2009
- 11,304
- 12,746
yaani nyie wadogo zangu wabaya sana, haya mambo mbona hamniambii nabaki nauliza maswali yasiyo na msingi kwenye forum? au mnaogopa dada mkubwa atatema cheche?wee Bishanga kelele nyiiiingi za kwenda kupima echaivii.........majibu mbona huleti?!?!?
Ours is the best couple ever! Ni mahabat ya dhati! Bishanga donge unatuonea unabaki kutupigia upatu! Kaa chini uumbe ya kwako kwa misingi imara! ingawa hakuna formula lakini labda saccos yako tutaiita ya kweli!
my dear Fixed Point muulize Mamndenyi akupiiem kuhusu kapo hizi!!!
dadangu Mamndenyi sijui ataniambia! maana wakubwa huwa tunawapelekea mastori, wao huwa hawana
Last edited by a moderator: