kapo feki na za ukweli cc hizi hapa

yaani nyie wadogo zangu wabaya sana, haya mambo mbona hamniambii nabaki nauliza maswali yasiyo na msingi kwenye forum? au mnaogopa dada mkubwa atatema cheche?
dadangu Mamndenyi sijui ataniambia! maana wakubwa huwa tunawapelekea mastori, wao huwa hawana
 
Last edited by a moderator:
Paloma unataka na mie nipate feki mara hii tena? Bishanga lini tukachukue majibu yetu jamani?
 
Last edited by a moderator:
Fixed Point mi akili haijatulia
namsubiri Bishanga tupoke results huku angaza lakini naona horaa.
 
Last edited by a moderator:
Fixed Point mi akili haijatulia
namsubiri Bishanga tupoke results huku angaza lakini naona horaa.
ha haaa, dadangu shem mtarajiwa kaingia mitini? lol!
huyu ana mbwembwe nyingi tu hana lolote......
haya endelea kumsubiri, ila nina uhakika wewe ni negative..... ila huyo shem na wadada wote hawa, sijui!!!!!!!!!!!!!
 

Fixed Point mdogo wako snowhite anayajua sana,mtishie kumnyofoa kucha atakwambia kila kitu
 
Last edited by a moderator:
mimi kwanza naomna niulize.... na hili ni innocent question........
kwani kuna kapo za ukweli huku cc? mi najua zote zinaishia hapa hapa cc.....
sasa hata kama hawajuani sura zao inahuu? la maana wanakutana hapa cc na ndoa inaendelea......

mmmmhhhhhh!!!!!!
usiniambie zile I love you huwa za ukweli? sikuwahi kulitegemea hilo....
anyway, yote maisha

Kumbe ndio maana, zile juzi zangu za masikhara masikhara za kiCC ndio maana hawakujitokeza, watu wanataka kitu serious, lol i never i knew that!
 
Bishanga hana lolote mpenzi, wivu tu umemjaa kilasiku analala mlango wazi ili aone ndoa za watu zikivunjika, hapatagi mapenzi ya dhati huyo, zaidi ya kuchunwa tu kama mbuzi wa ndafu!!!!!

ama kweli kupenda kubaya
 
Last edited by a moderator:

Paloma ndo tuko kwenye foleni ya kuchukua majibu
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…