kapo feki na za ukweli cc hizi hapa

ha haaa, dadangu shem mtarajiwa kaingia mitini? lol!
huyu ana mbwembwe nyingi tu hana lolote......
haya endelea kumsubiri, ila nina uhakika wewe ni negative..... ila huyo shem na wadada wote hawa, sijui!!!!!!!!!!!!!

niombee,si unajua askari haogopi mshindo wa bunduki
 
acha wivu wewe babu......kalipe kwanza madeni yako kule kwenye ile saccos ya wanawake na maendeleo!
yani unakopa hadi kwa wanawake! lol!
Nshakwambia bishanga anakopaga citibank husikii,finca na pride sosoliso
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…